Misri revolution

Misri revolution

eucalyptos

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2010
Posts
391
Reaction score
140
ss-110211-egypt-unrest-06_ss_full.jpg ss-110211-egypt-transition-06_ss_full.jpg ss-110211-ff-update-06_ss_full.jpg ss-110211-egypt-transition-07_ss_full.jpg ss-110211-egypt-unrest-05_ss_full.jpg ss-110210-egypt-unrest-09_ss_full.jpg
pencil.png
 
Je, nchi itatawalika?, maana nimesikia kuwa hata wale waharifu mashuhuri waliolkuwa magerezani wamefunguliwa sasa wako huru.
 
Kweli nimeamini, haki itacheleweshwa lakini lazima ipatikane>
Big up Misri.
 
kuna mengi ya kujifunza kwa Jeshi la Egypt kwamba badala ya kuwaua waandamanaji wanawapatia mkate na maji ili kunusuru maisha ya raia wake, inawalinda huku ikipisha upepo wa nguvu ya Umma kupita. Kimsing ndio Jukumu la majeshi ya nchi yeyote ile i.e. Kulinda uhai wa raia wake na mipaka ya taifa lake. tunayo mengi ya kujifunza hapa.
 
kuna mengi ya kujifunza kwa Jeshi la Egypt kwamba badala ya kuwaua waandamanaji wanawapatia mkate na maji ili kunusuru maisha ya raia wake, inawalinda huku ikipisha upepo wa nguvu ya Umma kupita. Kimsing ndio Jukumu la majeshi ya nchi yeyote ile i.e. Kulinda uhai wa raia wake na mipaka ya taifa lake. tunayo mengi ya kujifunza hapa.

Yaani jeshi la Misri ni la aina yake, sijawahi kuona. Ni mfano bora wa kuigwa. Ingekuwa TZ FFU wangekuja kuua watu na kuwaibia hata kidogo walichonacho mifukoni mwao. Congrants Egyptians.
 
ffu sio jeshi

ni polisi

hilo jeshi la misri ni sawa na jwtz hapa kwetu kwa ranks i mean

usilifananishe na ffu
 
[QbUOTE=The Boss;1616609]ffu sio jeshi

ni polisi

hilo jeshi la misri ni sawa na jwtz hapa kwetu kwa ranks i mean

usilifananishe na ffu[/QUOTE]

UNADHANI WAO HAWANA FFU na POLISI? Wanao but wana "UZALENDO WA KULINDA MASLAHI YA UMMA". Wachache wao ndio wale tuliokuwa tukiwaona hawana uniform but wakipiga raia na kujifanya kuwa wako "mrengo wa kulia". Hao wali2mwa na Hosni mwenyewe "kisiasa zaidi au ki Tz zaidi"
Mbona JK ni mJWTZ but hana sera kama za hawa?.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom