Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,090
Aljazeera mpaka ndio wanaosema ukweli,(Live) kwamba mtu mmoja kauwawa na wengine 400 kuumia katika maandamano ye kumshinikiza Muba aondoke. Ngoma bado mbichi! hatujui kama Baradei, ukosefu wa kz au njaa.
Pande zote 2 zimekutana (wanaomunga mkono Rais Mubarak na kundi la wanaompinga wengine wameamua kuziba barabara na kusali kuiombea Misri.
Jeshi limeshaingila kati mpaka asubuhi kitaeleweka.
Pande zote 2 zimekutana (wanaomunga mkono Rais Mubarak na kundi la wanaompinga wengine wameamua kuziba barabara na kusali kuiombea Misri.
Jeshi limeshaingila kati mpaka asubuhi kitaeleweka.