Misri (Egypt), nchi pekee ya kiarabu iliyostaarabika

Misri (Egypt), nchi pekee ya kiarabu iliyostaarabika

geomos

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2014
Posts
625
Reaction score
175
Misri ni nchi yenye historia ndefu toka enzi za Mussa na Farao, miaka ya 1967 nchi sita za waarabu ikiwepo Misri ziliungana kuipiga Israel lakini zilichakazwa vibaya ndani ya wiki moja. Kitu kilichoishangaza Misri hadi kufikia kuingia mkataba wa kutopigana kamwe na Israel. Kinachonifurahisha ni jinsi wamisri walivyoweza kutuliza machafuko nchini mwao, walivunja Chama cha Muslim brotherhood, hukumu ya kunyonga watu 500 akiwemo raisi aliyepita Mohamed Morsi. Morsi amehukumiwa kunyongwa kwa kuleta fujo kwa kushirikiana na makundi ya nje kama hesbolah, hamas, lebanon na Iran.
Nchi nyingi za kiarabu zilishindwa ustaarabu huu na kuishia mauaji na uharibifu, ikiwa pamoja na Libya, Syria, Iraq, Somalia, Yemen, Bahrain. Saudi Arabia pia inafuata mkondo wa Misri kwa kutwanga magaidi kwa ndege huko Yemen
 
Misri ni nchi yenye historia ndefu toka enzi za Mussa na Farao, miaka ya 1967 nchi sita za waarabu ikiwepo Misri ziliungana kuipiga Israel lakini zilichakazwa vibaya ndani ya wiki moja. Kitu kilichoishangaza Misri hadi kufikia kuingia mkataba wa kutopigana kamwe na Israel. Kinachonifurahisha ni jinsi wamisri walivyoweza kutuliza machafuko nchini mwao, walivunja Chama cha Muslim brotherhood, hukumu ya kunyonga watu 500 akiwemo raisi aliyepita Mohamed Morsi. Morsi amehukumiwa kunyongwa kwa kuleta fujo kwa kushirikiana na makundi ya nje kama hesbolah, hamas, lebanon na Iran.
Nchi nyingi za kiarabu zilishindwa ustaarabu huu na kuishia mauaji na uharibifu, ikiwa pamoja na Libya, Syria, Iraq, Somalia, Yemen, Bahrain. Saudi Arabia pia inafuata mkondo wa Misri kwa kutwanga magaidi kwa ndege huko Yemen
mbwatonau ngesem kozananimaku
 
Haya ndio ya kujadili,angaliwa ushetani huu














Sponsored




[h=1]Commons has more gay MPs than any other parliament in the world[/h][h=2]There are now 32 openly gay, lesbian and bisexual MPs - up on last year and far more than in Holland or Sweden[/h]Source Sunday Telegraph Sunday 17/05/05
 
Misri ni nchi yenye historia ndefu toka enzi za Mussa na Farao, miaka ya 1967 nchi sita za waarabu ikiwepo Misri ziliungana kuipiga Israel lakini zilichakazwa vibaya ndani ya wiki moja. Kitu kilichoishangaza Misri hadi kufikia kuingia mkataba wa kutopigana kamwe na Israel. Kinachonifurahisha ni jinsi wamisri walivyoweza kutuliza machafuko nchini mwao, walivunja Chama cha Muslim brotherhood, hukumu ya kunyonga watu 500 akiwemo raisi aliyepita Mohamed Morsi. Morsi amehukumiwa kunyongwa kwa kuleta fujo kwa kushirikiana na makundi ya nje kama hesbolah, hamas, lebanon na Iran.
Nchi nyingi za kiarabu zilishindwa ustaarabu huu na kuishia mauaji na uharibifu, ikiwa pamoja na Libya, Syria, Iraq, Somalia, Yemen, Bahrain. Saudi Arabia pia inafuata mkondo wa Misri kwa kutwanga magaidi kwa ndege huko Yemen

Somalia nayo ni nchi ya kiarbu?
 
mpuuzi huyo inamaa hujajua lengo la yeye kuanzisha huu uzi?
Bora na wewe ungeelezea kidogo tukajua ni nini mwelekeo mpaka Rais wa Nchi anahukumiwa kunyongwa pamoja na raia 500
lakini hatujajua km ww ni me au ni ke
mbwatonau
ngesem
koza
ninamaku
 
Ukijifanya unajua na huku hujui ni tatizo kubwa.Misri hiyo hiyo iliingia kwenye vita mwaka 1973. Je walikubaliana tena kupigana? Wacha kuja JF na stori za vikao vya mbege na ulabu.
 
Naunga mkono hoja,,hii nchi wanavyoishi unaweza dhani si nchi ya kiislam wanaheshim imani za watu wengine,kila mtu na time zake,nchi nyingine (sina uwakika kama ni nchi) ni dubai
 
Ukijifanya unajua na huku hujui ni tatizo kubwa.Misri hiyo hiyo iliingia kwenye vita mwaka 1973. Je walikubaliana tena kupigana? Wacha kuja JF na stori za vikao vya mbege na ulabu.

Mbege pombe ya kistaarabu usiivunjie heshma. huyu dogo anakunywa viroba vya bei chee. Misri ingekua nchi ya kistaarabu ingemnyonga Morsi na kumuacha muuaji Hosni ? Kunyonga watu 500 kwenu ni ustaarabu ?
 
Alietakakuleta ujinga misri ni morsi kutaka kuifanya misri kua ya kiislam,sasa asubili kitanzi kunguru yule.
 
Kama haujuwi history usisemi wananchi wamisry ndiyo waliyo pitisha nchi yao kua ya uwongozi wa kiislam
 
Misri ni nchi yenye historia ndefu toka enzi za Mussa na Farao, miaka ya 1967 nchi sita za waarabu ikiwepo Misri ziliungana kuipiga Israel lakini zilichakazwa vibaya ndani ya wiki moja. Kitu kilichoishangaza Misri hadi kufikia kuingia mkataba wa kutopigana kamwe na Israel. Kinachonifurahisha ni jinsi wamisri walivyoweza kutuliza machafuko nchini mwao, walivunja Chama cha Muslim brotherhood, hukumu ya kunyonga watu 500 akiwemo raisi aliyepita Mohamed Morsi. Morsi amehukumiwa kunyongwa kwa kuleta fujo kwa kushirikiana na makundi ya nje kama hesbolah, hamas, lebanon na Iran.
Nchi nyingi za kiarabu zilishindwa ustaarabu huu na kuishia mauaji na uharibifu, ikiwa pamoja na Libya, Syria, Iraq, Somalia, Yemen, Bahrain. Saudi Arabia pia inafuata mkondo wa Misri kwa kutwanga magaidi kwa ndege huko Yemen

Somalia nao ni waarabu?
 
Somalia nao ni waarabu?
Somalia si waarabu lakini nchi imeharibiwa zaidi kwa ushirika wa baadhi yao na alkaeda ambayo ni waarabu, au hujui hilo. Kuungana na makundi ya kigaidi dhidi ya nchi yako ni uhaini ndicho kilichompelekea adhabu ya kifo. Fujo ilikua miaka 20 jela
 
Naunga mkono hoja,,hii nchi wanavyoishi unaweza dhani si nchi ya kiislam wanaheshim imani za watu wengine,kila mtu na time zake,nchi nyingine (sina uwakika kama ni nchi) ni dubai

Uwakika = uhakika
 
Somalia si waarabu lakini nchi imeharibiwa zaidi kwa ushirika wa baadhi yao na alkaeda ambayo ni waarabu, au hujui hilo. Kuungana na makundi ya kigaidi dhidi ya nchi yako ni uhaini ndicho kilichompelekea adhabu ya kifo. Fujo ilikua miaka 20 jela

But all in all Somalia sio waarabu na hiyo ndio ilikuwa hoja yangu. Hayo Ya kujiunga na makundi Ya kigaidi hayana mshiko manake basi kama ni hivyo ungeitaja pia Tanzania kwenye kundi hilo manake wapo wabongo ambao walihusishwa na ugaidi dhidi ya nchi yao
 
Misri ni nchi yenye historia ndefu toka enzi za Mussa na Farao, miaka ya 1967 nchi sita za waarabu ikiwepo Misri ziliungana kuipiga Israel lakini zilichakazwa vibaya ndani ya wiki moja. Kitu kilichoishangaza Misri hadi kufikia kuingia mkataba wa kutopigana kamwe na Israel. Kinachonifurahisha ni jinsi wamisri walivyoweza kutuliza machafuko nchini mwao, walivunja Chama cha Muslim brotherhood, hukumu ya kunyonga watu 500 akiwemo raisi aliyepita Mohamed Morsi. Morsi amehukumiwa kunyongwa kwa kuleta fujo kwa kushirikiana na makundi ya nje kama hesbolah, hamas, lebanon na Iran.
Nchi nyingi za kiarabu zilishindwa ustaarabu huu na kuishia mauaji na uharibifu, ikiwa pamoja na Libya, Syria, Iraq, Somalia, Yemen, Bahrain. Saudi Arabia pia inafuata mkondo wa Misri kwa kutwanga magaidi kwa ndege huko Yemen

Ficha ujinga wako, hujui hata unachoongea. Bora ukae kimya.
 
Back
Top Bottom