Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 21,854
- 27,025
Usikariri, serena ziko mikoa mingi acha ushamba.Wazee weekend inaingia, kuna mitoko na familia, nauliza bei ya misosi ya Serena hotel ikoje?
Mwanaume nataka kubadili upepo kidogo Mke na watoto wangu wasizoee sehemu za kawaida ,
Ngoja nibadili chap tuondoke zetu!Next time yenyewe ndio sasa,ufanye haraka unilishe nishibe nirudi kwangu tandale nikalale.
View attachment 2913646
Wasije tu wakaenda kufakamia mijuisi huko Serena prof akachafukwa!Janabi akiona uzi huu anachafukwa huko.
NasubiriNgoja nibadili chap tuondoke zetu!
Safiiii sanaNishatoka kwa mama kaundime, nimekula wali, maharage na mchuzi wa kibua sijaacha hata mchuzi , nikapewa na maji kwenye jagi nimepiga yote mazee
Karambezi ni hatari, pesa yako tuAchana na serena, timba pande za sea cliff chimbo la karambezi hutojutia, mko wangapi nikupangie bajeti
Si waende huku wanakomudu tu? Ukiona mtu anaulizia ulizia namna hii ujue uwezo ni mdogo.Achana na serena, timba pande za sea cliff chimbo la karambezi hutojutia, mko wangapi nikupangie bajeti
Moja ya njia wanazotumia pale Wanacharge kichwa halafu unachagua ule nini, bei itabaki pale pale.
Humu, wengi Njaa tuu,
Wana JF wengi Wanapiga Pasi ndefu(counter attack), wengine wanaojitahidi ni makande Full package, akijitahidi nyama basi ni mateke ya kuku,
Nishakutana Mwana JF anakula mahindi na supu ya Masikio eti vyakula vya asili., rubish.
Chai ya maziwa sambusa mbili na yai moja elfu 30.Wazee weekend inaingia, kuna mitoko na familia, nauliza bei ya misosi ya Serena hotel ikoje?
Mwanaume nataka kubadili upepo kidogo Mke na watoto wangu wasizoee sehemu za kawaida ,
🤣🤣🤣🤣🤣Moja ya njia wanazotumia pale Wanacharge kichwa halafu unachagua ule nini, bei itabaki pale pale.
Humu, wengi Njaa tuu,
Wana JF wengi Wanapiga Pasi ndefu(counter attack), wengine wanaojitahidi ni makande Full package, akijitahidi nyama basi ni mateke ya kuku,
Nishakutana Mwana JF anakula mahindi na supu ya Masikio eti vyakula vya asili., rubish.
Wana JF ni Wana mtaani waliopigika,kwan wana JF ni kina nani? Si hawa hawa wa mtaani?
Wana JF ni Wana mtaani waliopigika,
Tofauti ya Mtaani na JF ni advantage ya kutofahamika.
Huwezi Kuta bei za vyakula kwenye website huko ni vyumba tu. Inategemea unataka kwenda lini na kula Nini.Kweli au ila ngoja niingie ktk website yao
Moja ya njia wanazotumia pale Wanacharge kichwa halafu unachagua ule nini, bei itabaki pale pale.
Humu, wengi Njaa tuu,
Wana JF wengi Wanapiga Pasi ndefu(counter attack), wengine wanaojitahidi ni makande Full package, akijitahidi nyama basi ni mateke ya kuku,
Nishakutana Mwana JF anakula mahindi na supu ya Masikio eti vyakula vya asili., rubish.
Hahahah mzee ulienda liniHuwezi Kuta bei za vyakula kwenye website huko ni vyumba tu. Inategemea unataka kwenda lini na kula Nini.
Kama ni jumapili basi jiandae kulipa 80k Kwa kichwa Wana kitu intwa branch na unlimited drinks. Sasa usishangae ukapewa bia 2 alafu mhudumu akatokomea akawa anarudi baada ya masaa 2