Misosi mingine kukomoana tu

Misosi mingine kukomoana tu

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,527
Reaction score
830,085
1425373737839.jpg
 
hii hata minyoo yangu haijashituka...na wale tu!
 
Nitakula ugali samaki tu hapo, ngoja nitafute ndimu na pilipili
 
Mbona msosi freshi tu,kama mboga zingewekwa kwenye bakuri ya kioo,na ugali ungepigwa danadana usingelalamika hapa
 
Sipati picha wakati wa kuPEEEE! mzigo utakuwa mgumu balaa.
 
Duh hii misokoto nakumbuka da last time tulikua tukiinunua Tsh 200/ cjui sasa hii kitu ina bei gan?
 
Back
Top Bottom