Wanaongoza sababu ya bahasha, sio tu elfu 50 wengine hawalipwi kabisaNauliza wadau kuwa Kuna taarifa niliona kwamba kocha msaidizi wa Simba queen amefukuzwa kwasababu ya kusema kwamba kiwango chao ni kibovu kwasababu baadhi ya wachezaji wanalipwa 50,000
Sasa mbona msimamo unaonesha Simba kashinda mechi zote? Au mi ndo sjaelewa