Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,557
- 45,872
Wanaume wenye kazi zao, elimu nzuri sijui hela hawataki kutuoa. Wanataka watugegede wee!
Wenzenu hatutaki uzinzi mwishowe tuje tufie lodge tuzikwe kwa aibu, tunataka kufanya ibada ya ndoa. Any nearby available single mishen town?
Ila usiniambie wewe ni mtoto wa katelephone njoo na uhalisia wako nitakupa mtaji wa kuuza chapati au nitakununulia bodaboda na mahari utakayompa mzee wangu maana atanipa mzee hapendi kula mahari yule.
Mahari yako ndio mtaji wako.
Wenzenu hatutaki uzinzi mwishowe tuje tufie lodge tuzikwe kwa aibu, tunataka kufanya ibada ya ndoa. Any nearby available single mishen town?
Ila usiniambie wewe ni mtoto wa katelephone njoo na uhalisia wako nitakupa mtaji wa kuuza chapati au nitakununulia bodaboda na mahari utakayompa mzee wangu maana atanipa mzee hapendi kula mahari yule.
Mahari yako ndio mtaji wako.