Targaryen
JF-Expert Member
- Feb 20, 2017
- 675
- 640
Wadau salama?
Walimu wale tulioajiliwa kipindi cha kampeni za uchaguzi kuna ambaye kaingiziwa pesa za january? Maana Desemba ilikuwa hakuna kitu na january kwangu hakuna kitu afu sina hapa pesa mfukoni hadi natamani nirudi home kwanza nipunguze ukali wa maisha.
Walimu wale tulioajiliwa kipindi cha kampeni za uchaguzi kuna ambaye kaingiziwa pesa za january? Maana Desemba ilikuwa hakuna kitu na january kwangu hakuna kitu afu sina hapa pesa mfukoni hadi natamani nirudi home kwanza nipunguze ukali wa maisha.