Mishahara ya walimu mwezi Agosti imeshatoka?

Mishahara ya walimu mwezi Agosti imeshatoka?

wabongo ndiyo maana mnafeli vibaya Interview kwenye makampuni binafsi Happiness Win umeulizwa swali na wewe umeuliza swali, halafu unajiita msomi??

Hilo linaitwa swalijibu. Swalijibu hutolewa kumwelimisha muulizaji ambaye kabla hajachambua kitu anachotaka kujua kwa makini hukurupuka na kuuliza swali kama ulivyofanya wewe.
 
inaweza fika septemba hii ngoma wakuu mbona kimya mpaka sasa.
 
tunatafuta pesa za wajumbe wa bunge la katiba. nyinyi msubiri
 
Leo 28 august kimya mishahara na huku ndugu na jamaa wanahitaji hela,
ahsante serikali yetu kwa kutujali watumishi.
 
"Watanzania tuwe wavumilivu serikali haina hela kwa sasa, na hela ikishapatikana inabidi kwanza walipwe wajumbe wa Bunge maalumu la katika manake yake wao wanafanya kazi kubwa na muhimu kwa mustakabali wa taifa letu changa" by Mr Politician
 
Kuna baadhi ya watumishi wa umma hawajalipwa mishahara ya mwezi agosti mpaka leo hii. Kulikoni jamani.. kuna tatizo gani???
 
Kuna baadhi ya watumishi wa umma hawajalipwa mishahara ya mwezi agosti mpaka leo hii. Kulikoni jamani kuna tatizo gani??
 
hata mimi cjapata labda bank zimekataa kuikopesha serikali.
 
Serikali haina hela .mpaka jana wanajeshi walikuwa hawajapata mshahara.
 
Back
Top Bottom