Offline User
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 3,828
- 2,395
Salary tayari, hapa nipo bar naweka heshima!
kama ni kweli , mood ya kufanya kazi itakwisha kwa baadhi ya wafanyakazi...Nasikia siku hizi mshahara utakuwa unatolewa kwa mgao ikiwa na maana kuwa kuna baadhi ya sekta itafika hadi tarehe kumi ya mwez mwingine kabla hawajapata mishahara yao....
Kitendawili.. Wa kwanza kuchagua ccm na wa kwanza kutegemea mishahara 100%.
hivi mishahara imetoka? utaratibu wa kutoka hazina moja kwa moja bado unaendelea...tujulishane
Kwani kila mtu humu kaajiriwa na aliekuajiri wewe?
hivi mishahara imetoka? utaratibu wa kutoka hazina moja kwa moja bado unaendelea...tujulishane