VPN USED2020OCTOBER28
JF-Expert Member
- Oct 27, 2011
- 1,505
- 676
najiskia vbaya sana kuona walimu wanaulizia mshahara hivi japo ni haki yao
Halmashaur gan mkuu @ mtanzania
najiskia vbaya sana kuona walimu wanaulizia mshahara hivi japo ni haki yao
bukoba manispaa
mshahara bado majamaa, kila mtu maskio kodoooooooo, wanaskilizia salary.............
Mkuu gombea urahisi inaonyesha una uchungu
Utaratibu wa kulipwa moja kwa moja umesitishwa...Italipwa kupitia halmashauri zenu...Kama unavyojua halmashauri hutofautiana.
upo halmashauli gani mkuu
Mungu wabariki walimu wa Tanzania na mishahara yao.Xemen Jaman Niende Nikarudishe Heshma Bar Wamenimicje!