hivi mishahara imetoka? utaratibu wa kutoka hadhina moja kwa moja bado unaendelea...tujulishane
duu.. team#mshahara walete majibu
angalia akaunti yako.jamani naomba mnijuze kama salary tayari out , hiii ni kwa walimu tu
ndiyoo mzee
hivi mishahara imetoka? utaratibu wa kutoka hadhina moja kwa moja bado unaendelea...tujulishane
teh teh bosi alinikuta nimelala lindoni kaniambia mwezi huu hamna mshahara kabisa.