Komba the Great
JF-Expert Member
- Apr 25, 2016
- 343
- 660
Katika mambo haya ya msingi wana mshikamano wa kutisha. Hutamsikia kubenea wala maji marefu.
Njaa haina Baunsa, watu wanatetea matumbo yao! linapokuja hilo suala nadhani huwa napata tatizo la color Blindness maana huwa nashindwa kutofautisha Rangi ya kijani na Kaki, naona zote zinafanana.😀😀
