Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 7,589
- 17,735
Kigezo sio elimu tu pamoja na experience.Ukiwa na masters unaitwa assistant lecturer.
Ukiwa na phd unakuwa lecturer...
Bila kusahau publications..... ukiwa scholar publications ndo kila kitu.Kigezo sio elimu tu pamoja na experience.
Wapo wenye masters ni ma lecturer na wapo wenye masters ni ma tutor.
Experience na mpaka HR akufanyie categorization.
#YNWA
Hatuwezi kuwa na masters halafu ukawa tutor labda hiyo masters uwe haukufikisha gpa ya 4 na chetu chake haujakionyesha wakati wa kuombaKigezo sio elimu tu pamoja na experience.
Wapo wenye masters ni ma lecturer na wapo wenye masters ni ma tutor.
Experience na mpaka HR akufanyie categorization.
#YNWA
Hatuwezi kuwa na masters halafu ukawa tutor labda hiyo masters uwe haukufikisha gpa ya 4 na chetu chake haujakionyesha wakati wa kuomba
Ila Ni kweli unaweza kuwa lecture na ukiwa na Masters tu + publication za kutosha
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Hahaha ile opa kumbe ni mkono wa sister hhhh, natania brohAhaa poa poa mkuu, ila kitambulisho cha dadaangu kimeandikwa Lecturer so there must be some conditions perhaps!
KijebaNisaidie:
• Lecturer ni Mhadhiri;
• Assistant Lecturer ni Mhadhiri Msaidizi, na je;
• Tutorial Assistant ni nani (kwa Kiswahili)?
Ya sister ni Isis af ishakula mbung'aa Nang'ado iko juu ya mawe sahiziHahaha ile opa kumbe ni mkono wa sister hhhh, natania broh
Mkuu unamaanisha kwamba kufundisha tuition wanafunzi wa chuo kikuu? Ama kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni!
Nasikia kwenye vyuo vya afyaHatuwezi kuwa na masters halafu ukawa tutor labda hiyo masters uwe haukufikisha gpa ya 4 na chetu chake haujakionyesha wakati wa kuomba
Ila Ni kweli unaweza kuwa lecture na ukiwa na Masters tu + publication za kutosha
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
kwa nini nisikimbilie kwny siasa😂😂😂Mi navyojua TA anaanza na 1.2m bila masters wakiipurura kutoa makato yote na kodi hukosi take home ya 800,000! Kufikia u lecturer inakuwa 2.2m wakikata ni 1.8m hapo unali masters lako tayari! Ukilikurupua li PhD mzigo unapanda tena kwa associate proffessor hadi proffesor kamili unagonga around 3.5m to 6m!
???1.8 m. Benefits nyingine hakuna zaidi ya fursa za kuongeza elimu mpaka kufikia u-professor. Kwa ufupi ni kazi inayokufanya uwe mtegemezi wa mshahara wa mwisho wa mwezi
Tutor na instructor wote Ni level moja hapo Elimu yake Ni kuanzia shahada ya kwanza Ila awe na vigezo.mie ningependa kujua tofauti ya
Tutor
Instructor
Lecturer
na
Assistant lecturer
SHUKRANI MKUU KWA UFAFANUZI WAKOTutor na instructor wote Ni level moja hapo Elimu yake Ni kuanzia shahada ya kwanza Ila awe na vigezo.
Then Lecture yeye awe na Elimu kuanzia shahada ya pili na mwenyewe vigozo pia hivyo hivyo kwa Assistant lecturer yeye Elimu yake Ni kuanzia shahada ya pili na awe na vigezo Ila awe amepitia ku lecturer.
I will stand to be correct
746,000 GrossHabari wakuu,
Ningependa kujua mishahara ya tutorial assistants kwa vyuo vya umma kama UDSM, Ardhi, UDOM n.k
Pia naomba kujua na other benefits (packages) outside basic salary
Natanguliza shukrani
Vipi kuhusu posho ?kupitia hii post na nyingne nyingi,nimejua tu kuwa si kila jibu la JF member Ni kweli,wengi wanajibu mambo wasioyajua,mfano mtu anasema "T.A. Ni kazi inayokufanya utegemee mshahara tu" huyu ni muongo kabisa maana academicians wako free kabisa na Kama Ni mtu wa kazi nyingi uko huru kufanya shughuli zako ilmradi uwasilishe matokeo ya wanafunzi bila malalamiko,kingine mshahara wa T.A. wa kuanzia sio 1.8M,ni chini kidogo ya hapo;
Vipi kuhusu posho ?
Je ni kweli kuna teaching allowance kwa kila kipindi unachofundisha?
Astaghfirullah!746,000 Gross
Ukishaweka neno "Inategemea" maana yake vyuoni hakuna posho yeyote iliyo rasmi kutoka kwenye majukumu yako ya kawaida. Maana hiyo Kabudi alikuwa sahihi aliposema alitolewa jalalaniInategemea na chuo. Kuna baadhi ya vyuo TA anatakiwa kuwa na somo moja kufundisha na assist moja. Kama atakuwa na masomo extra anakuwa analipwa