Mishahara ya marais duniani

Nafikiri wewe ubongo wako una lag behind by 180 degree maana yake,hata kama wewe ni msomi basi huo usomi wako haujakusaidia kitu zaidi ya kunyoosha mkono mwisho wa mwezi na kupewa kikupasacho.ITS NOT UR FAULT,sio tatizo lako.but ungejiuliza capitalism,socialism ni idea ya nani na kwa nini nchi ziliamua kufuata hizo desturi ambazo ni manmade. Funguka,ili kuendelea ni lazima ujifunze kwa waliokutangulia.c'mon learn to think out of the box

 
1.obama 640m
2 cameroon 338m
3 kenyatta 227m
4 frncois(france) 475m
5 mugabe 27m
6 zuma 400m
7 Plutin 174m
8 jinping(china) 60m
9 kikwete???
NB orodha ipo kwa tsh
 
AMAZING AMAZING AMAZING AMAZING!!!!!!!!!!!!!!!!

Mahmoud Ahmadinejad
- President Iran - Born:
1956
Iran - Married -
Children: 3
Annual: USD 3,000.00 Monthly: USD 250.00
Weekly: USD 60.00
Daily: USD 12.00

It doesn't make sense
 
Tanzanian president mshahara $300,000 kwa mwaka plus makazi,malazi,mavazi,afya yeye na familia pamoja na usafiri vyote hivyo ni package mbali na mshahara
 
1.obama 640m
2 cameroon 338m
3 kenyatta 227m
4 frncois(france) 475m
5 mugabe 27m
6 zuma 400m
7 Plutin 174m
8 jinping(china) 60m
9 kikwete???
NB orodha ipo kwa tsh

No:9, 480,000,000 shillings
 

Iran ni nchi tajiri sana na maisha ni ghali huo mshahara hata mfanyakazi wa kawaida haumtoshi
 
ushabiki was kidini wanukia apa

Kila kitu ni dini tu kila hoja dini,
Mi nimesema hivyo kwa sababu naijua Iran vizuri, chai yenyewe ni $ 1.50 nimeandika hivyo kutokana na fact wala sipo udini labda tu umeelewa vibaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…