Mishahara vipi

Mishahara vipi

KWA HUU MUHTASALI WA MAPATO NA MATUMIZI YA SERIKALI LABDA WATUMISHI MTAPEWA MSHAHARA LEO.

Ufafanuzi Wa Mapato Na Matumizi Ya Serikali Kwa Mwezi Machi, 2016

A: MAPATO

(i) Mapato ya kodi (TRA) shilingi 1,283,274,000,000

(ii)Mapato yasiyo ya kodi shilingi 77,504,000,000

(iii)Mapato yatokanayo na vyanzo vya Halmashauri shilingi 43,490,000,000



Jumla shilingi 1,404,268,000,000



(iv) Tunatarajia pia kupata mikopo na misaada ya mifuko ya Basket na miradi ya maendeleo kutoka kwa washirika wa maendeleo shilingi 71,200,000,000


B: MATUMIZI

1. Mishahara

(a) Watumishi wa Serikali Kuu na Serikali za Mitaa shilingi 484,057,177,680 ikijumuisha malimbikizo ya shilingi 9,479,389,384 na hasa kwa walimu katika Halmashauri 154


(b) Watumishi wa Taasisi na Wakala za Serikali shilingi 97,985,822,320 ikijumuisha malimbikizo ya shilingi 518,822,320 kwa Taasisi na Wakala 24 na hasa sehemu kubwa Hospitali ya Taifa Muhimbili.



Jumla ya mishahara ni shilingi 582,043,000,000



2.Posho ya chakula kwa ajili ya vyombo vya ulinzi na usalama shilingi 43,556,500,000.

3.Ruzuku ya Vyama vya Siasa shilingi 1,433,583,000


4.Posho ya Madaktari wanafunzi 1608 shilingi 1,721,000,000.

5.Wizara ya Afya Ununuzi wa madawa na vifaa tiba shilingi 2,597,961,000


6.Mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya Juu kwa semista ya tatu shilingi 57,040,000,000


7.Kutekeleza mpango wa Elimu bure shilingi 18,777,000,000

8.Mapato ya ndani kwa Halmashauri kwa ajili ya miradi na uendeshaji wa ofisi shilingi 43,490,000,000


9.Madeni ya watumishi wasio walimu katika Halmashauri shilingi 3,618,900,612


10.Miradi ya umeme shilingi 73,252,000,000

- Wakala wa Umeme Vijijini shilingi 24,020,000,000

- Mradi wa Umeme Kinyerezi I shilingi 43,800,000,000


-Mradi wa kufua umeme makambako – Songea shilingi 5,482,000,000


11.Malimbikizo ya madeni ya Makandarasi wa barabara shilingi 166,905,919,730


12.Miradi ya Maji shilingi 10,951,000,000

13.Mfuko wa Reli shilingi 2,651,000,000

14.Fidia kwa wananchi kupisha mradi wa Kurasini Trade and Logistic Hub shilingi 3,048,904,930


15.Mradi wa Ununuzi wa dawa na vifaa Tiba (ORIO) shilingi 2,106,657,644


16.Mfuko wa kuchochea maendeleo ya jimbo shilingi 5,124,997,500
 
KWA HUU MUHTASALI WA MAPATO NA MATUMIZI YA SERIKALI LABDA WATUMISHI MTAPEWA MSHAHARA LEO.

Ufafanuzi Wa Mapato Na Matumizi Ya Serikali Kwa Mwezi Machi, 2016

A: MAPATO

(i) Mapato ya kodi (TRA) shilingi 1,283,274,000,000

(ii)Mapato yasiyo ya kodi shilingi 77,504,000,000

(iii)Mapato yatokanayo na vyanzo vya Halmashauri shilingi 43,490,000,000



Jumla shilingi 1,404,268,000,000



(iv) Tunatarajia pia kupata mikopo na misaada ya mifuko ya Basket na miradi ya maendeleo kutoka kwa washirika wa maendeleo shilingi 71,200,000,000


B: MATUMIZI

1. Mishahara

(a) Watumishi wa Serikali Kuu na Serikali za Mitaa shilingi 484,057,177,680 ikijumuisha malimbikizo ya shilingi 9,479,389,384 na hasa kwa walimu katika Halmashauri 154


(b) Watumishi wa Taasisi na Wakala za Serikali shilingi 97,985,822,320 ikijumuisha malimbikizo ya shilingi 518,822,320 kwa Taasisi na Wakala 24 na hasa sehemu kubwa Hospitali ya Taifa Muhimbili.



Jumla ya mishahara ni shilingi 582,043,000,000



2.Posho ya chakula kwa ajili ya vyombo vya ulinzi na usalama shilingi 43,556,500,000.

3.Ruzuku ya Vyama vya Siasa shilingi 1,433,583,000


4.Posho ya Madaktari wanafunzi 1608 shilingi 1,721,000,000.

5.Wizara ya Afya Ununuzi wa madawa na vifaa tiba shilingi 2,597,961,000


6.Mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya Juu kwa semista ya tatu shilingi 57,040,000,000


7.Kutekeleza mpango wa Elimu bure shilingi 18,777,000,000

8.Mapato ya ndani kwa Halmashauri kwa ajili ya miradi na uendeshaji wa ofisi shilingi 43,490,000,000


9.Madeni ya watumishi wasio walimu katika Halmashauri shilingi 3,618,900,612


10.Miradi ya umeme shilingi 73,252,000,000

- Wakala wa Umeme Vijijini shilingi 24,020,000,000

- Mradi wa Umeme Kinyerezi I shilingi 43,800,000,000


-Mradi wa kufua umeme makambako – Songea shilingi 5,482,000,000


11.Malimbikizo ya madeni ya Makandarasi wa barabara shilingi 166,905,919,730


12.Miradi ya Maji shilingi 10,951,000,000

13.Mfuko wa Reli shilingi 2,651,000,000

14.Fidia kwa wananchi kupisha mradi wa Kurasini Trade and Logistic Hub shilingi 3,048,904,930


15.Mradi wa Ununuzi wa dawa na vifaa Tiba (ORIO) shilingi 2,106,657,644


16.Mfuko wa kuchochea maendeleo ya jimbo shilingi 5,124,997,500
Heri ya tumbo la mama lililokuzaa jaman, umejitoa kwa ajili ya wengine, ubarikiwe ndugu
 
Mimi mwenyewe bado sijapata sijui Sikukuu itakuwaje???,Duh!!! Mhe.Rais hili nalo ni jipu hadi Alhamis Kuu inaingia yaani patupu Familia itanielewaje jamani???.
MUNGU Na akubariki kwa kujali familia yako kwanza, nimependa Sana hapo uliposema familia yako itakuelewaje, inaonyesha Ni jinsi gan unavojal familia yako, ubarikiwe siku zote ndugu
 
Nina wadeni wangu wanadai mishahara bado.. Mlioko serikalini je ni kweli? Isije ikawa nadanganywa.. Pasaka nayo hiyooo.
Taarifa kwa watumishi wa umma
Kutokana na zoezi linaloendelea hivi sasa nchi nzima la kuondoa watumishi hewa katika mfumo wa malipo (pay roll)…na kufuatia ugumu wa kufanya uhakiki watumishi wote kama ambavyo mheshimiwa rais ameagiza…,
Hivyo basi kutakuwa na uchelewaji wa mshahara wa mwezi March hadi zoezi zima likamilike…, Tahadhari; TUMIA FEDHA YAKO YA AKIBA KWA UANGALIFU….
 
naona kuna jumbe zinasambaa whatsup mishaara itachelewa kutoka wanatisha watu namna iyo
 
Taarifa kwa watumishi wa umma
Kutokana na zoezi linaloendelea hivi sasa nchi nzima la kuondoa watumishi hewa katika mfumo wa malipo (pay roll)…na kufuatia ugumu wa kufanya uhakiki watumishi wote kama ambavyo mheshimiwa rais ameagiza…,
Hivyo basi kutakuwa na uchelewaji wa mshahara wa mwezi March hadi zoezi zima likamilike…, Tahadhari; TUMIA FEDHA YAKO YA AKIBA KWA UANGALIFU….
Wewe Jipu!!
 
MUNGU Na akubariki kwa kujali familia yako kwanza, nimependa Sana hapo uliposema familia yako itakuelewaje, inaonyesha Ni jinsi gan unavojal familia yako, ubarikiwe siku zote ndugu
Asante mkuu bushland!!!,mimi ninaipenda familia yangu na sipendi inyanyasike wakati bado nipo hai,labda nife ndipo inyanyasike wakati nimekufa.
 
Nina wadeni wangu wanadai mishahara bado.. Mlioko serikalini je ni kweli? Isije ikawa nadanganywa.. Pasaka nayo hiyooo.
Si useme tu kuwa ww ni ticha na huna hela ya pasaka ndo unaulizia kijanja km mshahara Umetoka ili uende mjini ukachukue!!

Vumilia tu ticha mshahara bado, Eti nna wadeni wangu!!
 
Tulia wewe acha tuhakiki mishahara hewa kwanza...kuwa mpole tutumbue majipu.
 
Jaman jumamosi benki wanafanya kazi kwa nn wasiingize hiyo mishahara, ni tarehe 26 itakuwa
 
Mishahara inatokaga 23-25 kila mwezi, mpaka ss wote washapewa
 
Mbona mshahara wametoa tangu Jana au wewe ni mfanyakazi ! Watakuwa wamekufungia
 
Si useme tu kuwa ww ni ticha na huna hela ya pasaka ndo unaulizia kijanja km mshahara Umetoka ili uende mjini ukachukue!!

Vumilia tu ticha mshahara bado, Eti nna wadeni wangu!!

Punguza genye mzee mzima.. Ungepita kimya tu... Kweli wazee wamebaki wachache siku hizi...
.
 
Back
Top Bottom