Kuwe na sheria a kuwabana waajiri kwamba ni lazima wawalipe waajiliwa katika tarehe husika na kama hawatafanya hivyo wapigwe faini.
Ina maana na mishahara ya mawaziri na makatibu wakuu nayo imechelewa kulipwa?.
Sasa kama watumishi wa serikali waliopo Dar hawajalipwa mpaka sasa, je watumishi wa serikali waliopo Tandahimba na Tanganyika masagati watalipwa lini?. Inasikitisha kwa kweli.