Kwa wale wasiojua ngazi ya mshahara ya B ni ya mwenye cheti (certificate), C= Diploma, D= Degree)
WALIMU
TGTS B1= 344,000/=
TGTS C1= 432,500/=
TGTS D1= 589,000/=
TGTS E= 769,000/=
TGTS F= 1,003,000/=
TGTS G= 1,320,000/=
Wakati kwa kada ya KILIMO mambo ni mazuri kabisa kama ifuatavyo
B= 1,060,000/=
C=1,252,000/=
D= 1,473,000/=
E=1,736,000/=