mishahara mipya ualimu

giraffe

JF-Expert Member
Jun 6, 2010
608
196
TGTS A1 296,000
TGTS B1 344.000
TGTS C1 432,500
TGTS D1 589,000
TGTS E1 769,000
TGTS F1 1,003,000
TGTS G1 1,320,000
TGTS H1 1,734,000
TGTS I1 2,415,000 hii ndio mishara mipya
 
TGTS A1 296,000
TGTS B1 344.000
TGTS C1 432,500
TGTS D1 589,000
TGTS E1 769,000
TGTS F1 1,003,000
TGTS G1 1,320,000
TGTS H1 1,734,000
TGTS I1 2,415,000 hii ndio mishara mipya

tupe source kama huna ondoa uzi wako tumeshachoka na thread zinazoelezea mishahara ya walimu.
 
angalia uhusiano wa hii ya nyuma, na huo uchafu wenu mnaoweka hapa. hakuna ukweli wa mishahara mnayoongea hapa

acheni kupotosha watu, ninachoweza kuwaambia wenzetu waimu, mshahara bado haujulikani,

kwa mfano, kama housegirl 40,000/- kule kwenye makampuni ya simu sh 400,000 je mtumish wa umma atapata ngapi??

simple maths ni kwamba haiwezekana ongezeko wakati huu amabo kuna malalaloko waweke kiasi hicho
 
angalia uhusiano wa hii ya nyuma, na huo uchafu wenu mnaoweka hapa. hakuna ukweli wa mishahara mnayoongea hapa

acheni kupotosha watu, ninachoweza kuwaambia wenzetu waimu, mshahara bado haujulikani,

kwa mfano, kama housegirl 40,000/- kule kwenye makampuni ya simu sh 400,000 je mtumish wa umma atapata ngapi??

simple maths ni kwamba haiwezekana ongezeko wakati huu amabo kuna malalaloko waweke kiasi hicho

weka waraka wa mwaka huu, huu wa mwaka jana wann sasa
 
angalia uhusiano wa hii ya nyuma, na huo uchafu wenu mnaoweka hapa. hakuna ukweli wa mishahara mnayoongea hapa

acheni kupotosha watu, ninachoweza kuwaambia wenzetu waimu, mshahara bado haujulikani,

kwa mfano, kama housegirl 40,000/- kule kwenye makampuni ya simu sh 400,000 je mtumish wa umma atapata ngapi??

simple maths ni kwamba haiwezekana ongezeko wakati huu amabo kuna malalaloko waweke kiasi hicho


Wekeni walaka mpya wa mwaka 3013 siyo huo ambao wanaotujali walishatuwekea mwaka jana!
 
Kwa mujibu wa payrol za mwez huu zina onesha mwalimu ngazi ya TGTS B1 ana basic salary ya sh. 344000/=
 
mtaumiza vichwa bure,walimu wamaoifahamu vizuri serikari yao wametulia kimyaa!wanapiga ishu zao zingime za kuongeza mshiko huku wakingojea mwisho mwez kuona kama kuna jipya lamaana kwenye mishahara,la sivyo akili kichwani!
 
hebu tusubiri hizo new salary scale,ni vizuri kuwa na uhakika na jambo ndo ukalianika hewani!otherwise ni kushusha 'p' yako
 
waraka wa uongo na mishahara ya hewa hiyo ngoja watu wapokee cash wahesabu toa maneno hapo halafu mbona mnafuatilia sana salary kuliko kaziiiii...fia ubaoni basiii
 
mimi niwahakikishie tu walimu wetu, kwa kuwa mshahara wa watu wa makampuni ya simu, kima cha chini ni sh 400,000/-? ninyi lazima itagusa hapo hapo au hata laki 5 kwa mwezi kima cha chini. Haiwezekani mshahara wenu uwe chini ya hapo kima cha chini? kwa hiyo wanosema 553000, ni waongo, 553000, labda ndio iwe kima cha chini au diploma, kwa vyovyote degree lazima apate 700,000 kuendelea, endeleeni kibisha

ova
 
mimi niwahakikishie tu walimu wetu, kwa kuwa mshahara wa watu wa makampuni ya simu, kima cha chini ni sh 400,000/-? ninyi lazima itagusa hapo hapo au hata laki 5 kwa mwezi kima cha chini. Haiwezekani mshahara wenu uwe chini ya hapo kima cha chini? kwa hiyo wanosema 553000, ni waongo, 553000, labda ndio iwe kima cha chini au diploma, kwa vyovyote degree lazima apate 700,000 kuendelea, endeleeni kibisha

ova

wewe ndio unadanganya wenzako
 
Back
Top Bottom