bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
kuna baadhi ya misamiati
au majina ya kiswahili
ambayo wanayajua
walioishi mbeya kwa mda
mrefu tu!! wa
mikoa mingine hawayajui mfano,
FONKA=FOREST
BOGI=MVUA,
SIBWE=Mwanaume
aliyekomaa mwili kishenzi
KAKSI=mtu kauzu/katili,
MOMA=JIWE LA UDONGO, BONKO au
BONYO=parachichi
hebu + misemo ya mkoani/lugha yenu tuifaham basi.
au majina ya kiswahili
ambayo wanayajua
walioishi mbeya kwa mda
mrefu tu!! wa
mikoa mingine hawayajui mfano,
FONKA=FOREST
BOGI=MVUA,
SIBWE=Mwanaume
aliyekomaa mwili kishenzi
KAKSI=mtu kauzu/katili,
MOMA=JIWE LA UDONGO, BONKO au
BONYO=parachichi
hebu + misemo ya mkoani/lugha yenu tuifaham basi.