Misemo yenye utata kati ya abiria na Kinda..

Kuna kinda mmoja aliniambia

"Kalia ndoo"

Nikamwambia

haijasimama vizuri

Means inatikisika,

Walinicheka nkamaind baadae niliposhuka kuna mtani wangu nilipanda nae akanikumbushia nilivomjibu eti walimaanisha vingine nilichukiaaaaaaa! Nageuka kuiangalia daladala haupo.
 
Kuna kinda mmoja aliniambia

"Kalia ndoo"

Nikamwambia

haijasimama vizuri

Means inatikisika,

Walinicheka nkamaind baadae niliposhuka kuna mtani wangu nilipanda nae akanikumbushia nilivomjibu eti walimaanisha vingine nilichukiaaaaaaa! Nageuka kuiangalia daladala haupo.
๐ˆ๐ง๐ ๐ž๐ฌ๐ข๐ฆ๐š๐ฆ๐š ๐ฎ๐ง๐ ๐ž๐ข๐ค๐š๐ฅ๐ข๐š! ...๐๐š๐ก ๐ก๐š๐ก๐š๐ก๐š
 
WASIOPANDA DALADALA WANAKOSA UHONDO WA KAULI HIZI:
1) Nitakupa.
2) Atakupa mbele.
3) Hujapewa mbele?
4) Utapewa nyuma.
5) Nitakupa nikikaa vizuri.
6) Ngoja isimame nikupe.
7) Subiri asimamishe nikupe.
8) Hivi nilivyokaa nitakupaje?
9) Utapewa tulia.
10) Nikupe mara ngapi?
11) Msimpe nimeshampa huku mbele!
 
Kuna kinda mmoja aliniambia

"Kalia ndoo"

Nikamwambia

haijasimama vizuri

Means inatikisika,

Walinicheka nkamaind baadae niliposhuka kuna mtani wangu nilipanda nae akanikumbushia nilivomjibu eti walimaanisha vingine nilichukiaaaaaaa! Nageuka kuiangalia daladala haupo.
 
WASIOPANDA DALADALA WANAKOSA UHONDO WA KAULI HIZI:
1) Nitakupa.
2) Atakupa mbele.
3) Hujapewa mbele?
4) Utapewa nyuma.
5) Nitakupa nikikaa vizuri.
6) Ngoja isimame nikupe.
7) Subiri asimamishe nikupe.
8) Hivi nilivyokaa nitakupaje?
9) Utapewa tulia.
10) Nikupe mara ngapi?
11) Msimpe nimeshampa huku mbele!
 
Kuna kinda mmoja aliniambia

"Kalia ndoo"

Nikamwambia

haijasimama vizuri

Means inatikisika,

Walinicheka nkamaind baadae niliposhuka kuna mtani wangu nilipanda nae akanikumbushia nilivomjibu eti walimaanisha vingine nilichukiaaaaaaa! Nageuka kuiangalia daladala haupo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom