I feel sorry for you too. Ungekuwa huku ungeelewa kwa nini wanaact vile. Ni maisha yetu ya ki-bongobongo yalivyo.
Mfano, chukulia mkaazi typically wa Tandale anunue gazeti la Daily News, si itakuwa kituko? Kule nenda kauze kiu, ijumaa, uwazi ndo litatoka. Kumbuka nimesema mkaazi typical wa Tandale.