Misemo iliyobamba 2017

Misemo iliyobamba 2017

The Tomorrow People

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2013
Posts
2,690
Reaction score
2,853
Tujikumbushe maneno, sentensi na misemo iliyobamba 2017...Mimi naanza na hii.... Unaweza ongeza.

1. Mara Paaaap
2. Not to that extent
3.Chapa kazi
4. Expansion joint
5. Haijawahi mwacha mtu salama
6. ............vimekaza
7. Girisi
8. Mia tisa itapendeza
9. Nissan nyeupe
 
1: Pambana na hali yako
2: Kwa usawa huu wa Magu
Mkuu misemo mingi umeisema
 
Mbona huu uzi umekwisha wekwa humu. Mbona unarudia?
 
hauwezi kunijibu mm hivyo wewe umenielewaa...
 
Kuna huu ulibamba MMU
Gudume gwenu Gwambegu a.k.a Tripple G
 
Tujikumbushe maneno, sentensi na misemo iliyobamba 2017...Mimi naanza na hii.... Unaweza ongeza.

1. Mara Paaaap
2. Not to that extent
3.Chapa kazi
4. Expansion joint
5. Haijawahi mwacha mtu salama
6. ............vimekaza
7. Girisi
8. Mia tisa itapendeza
9. Nissan nyeupe
900 Itapendeza!
 
Back
Top Bottom