Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,882
- 828,453
Kwanza uungwana ni vitendo.. Na kujishusha ni kuonesha ukomavu wa akili.. Lakini vilevile kutubu ni kuonesha majuto na kujirudi kulikojaa tafakuri
Lakini yote hayo huwa na maana ama hukosa maana kama yamefanyika kwa kushurutishwa ama kulazimishwa.. Kama mlengwa ni mtu mmoja ama ni jamii
Job Ndugai alimuomba boss wake msamaha.. Mazingira yakionesha wazi "alishurutishwa" kufanya hivyo! Imagine hata viatu alikuwa hajafunga gidamu na vilikuwa oversize! Je kabla ya kuomba radhi mbele ya cameras alikuwa wapi? The walls has a story to tell!
Msamaha wake uligeuka dhihaka na kejeli kwa jamii.. Huku wengine wakiuchukulia kama kituko cha karne! Maana haukuwa na faida yoyote kwa jamii
Humphrey Pole pole kaomba msamaha kwa jamii.. Tena kwa kurudiarudia.. Pamoja na ukubwa wa makosa yake tofauti na ya Ndugai bado msamaha wake umeonekana wa maana zaidi.. Kwakuwa ameiomba jamii na bila shuruti
Msamaha wake umemjenga badala ya kumbomoa.. Msamaha wake umepokelewa kwa heshima kubwa, kwakuwa aliyoyasema yameifungua macho jamii na yanaumiza sana!
Likitokea la kutokea leo Pole pole atakuwa na HERO kwa jamii na msiba wake utakuwa tofauti kabisa na wa Ndugai
Hii ni nguvu ya msamaha kujishusha na kujutia.. Lakini je unamuomba nani na kwa sababu gani
Lakini yote hayo huwa na maana ama hukosa maana kama yamefanyika kwa kushurutishwa ama kulazimishwa.. Kama mlengwa ni mtu mmoja ama ni jamii
Job Ndugai alimuomba boss wake msamaha.. Mazingira yakionesha wazi "alishurutishwa" kufanya hivyo! Imagine hata viatu alikuwa hajafunga gidamu na vilikuwa oversize! Je kabla ya kuomba radhi mbele ya cameras alikuwa wapi? The walls has a story to tell!
Msamaha wake uligeuka dhihaka na kejeli kwa jamii.. Huku wengine wakiuchukulia kama kituko cha karne! Maana haukuwa na faida yoyote kwa jamii
Humphrey Pole pole kaomba msamaha kwa jamii.. Tena kwa kurudiarudia.. Pamoja na ukubwa wa makosa yake tofauti na ya Ndugai bado msamaha wake umeonekana wa maana zaidi.. Kwakuwa ameiomba jamii na bila shuruti
Msamaha wake umemjenga badala ya kumbomoa.. Msamaha wake umepokelewa kwa heshima kubwa, kwakuwa aliyoyasema yameifungua macho jamii na yanaumiza sana!
Likitokea la kutokea leo Pole pole atakuwa na HERO kwa jamii na msiba wake utakuwa tofauti kabisa na wa Ndugai
Hii ni nguvu ya msamaha kujishusha na kujutia.. Lakini je unamuomba nani na kwa sababu gani