Misaada huenda ikakatika, tuwekeze kwenye uzalishaji wa mazao ya baharini, nchi kavu na viwandani

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
13,729
14,159
Ujio wa Trump na Uingereza kujitoa kwenye Umoja wa Ulaya (EU), kutabadilisha sana mambo mengi tuliyokuwa tumeshayafanya kama mazoea yetu kama vile kutegemea misaada na mikopo yenye masharti nafuu kutoka nchi hisani na mashirika ya kimataifa.

Hali ilivyo sasa kila nchi lazima ibebe yenyewe uwepo wake na watu wake bila kuangalia wahisani. Tukusanye kodi na tuwekeze kwenye uzalishaji wa mazao ya baharini, nchi kavu na viwandani. Watu wanaolia njaa tungeweza kuwalisha samaki wa baharini.
 
Rais hiyo elimu ya bure afute kama hataki kutoa misaada ya chakula eti kwa kuwa ana tusomeshea watoto wetu, hizo pesa akae nazo tu. Kama halipi madeni ya walimu, hawapandishii mishahara, ha ajili waalim wapya, hiyo elim bure haina maana kabsaa.
Hatupendi ujinga sisi na watoto wetu watasoma tu hata asipoweka bure
 
Back
Top Bottom