Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,099
- 630
- Thread starter
- #21
Unakuta Mbunge ndio Kinara wa kutafuna hii mihadarati.
Msalani,
Kuna Wabunge wanakula hii kitu??? Au kwakuwa inaliwa sana Moshi/Arusha
na chadema ina wafuasi wengi huku hivyo Wabunge wa hiyo mikoa wanasaga????