"MIRUNGI" ni Biashara huria Moshi na Arusha??

"MIRUNGI" ni Biashara huria Moshi na Arusha??

Kama ndio mara ya kwanza kufika Moshi au Arusha utashangaa sana, vijana wanakula majani kama mbuzi...Hatari sana kumbe sio majani ni Mirungi!!!

Huku polisi sio wakali kabisa juu ya utafunaji majani haya, na uuzaji wa mirungi maarufu kama "Miraa".
Na wauzaji wanafahamika na mitaa wanayouzia inafahamika. Ila hakuna mkono wa sheria juu yao.

Kwa wanaojua nini madhara ya matumizi ya mmea huu?? Na kisheria Tanzania inaruhusiwa kuliwa na kuuzwa??

huu ndo umbea. yaani wewe imebaki tu wakufunge shanga kiunoni na khanga. Mtoto wa kkiume hawi mmbea. Namba za makamanda wako wa polisi unazijua. kama huzijui google policeforce tanzania. mpigie kamanda wamkoa husika aje afanye kazi au mwandikie email nikopi mimi na IGP ERNEST M. kama utaona mrungi aka miraa.
 
IMG-20140605-WA0005.jpg veve
 
Arusha hizo mambo ni kawaida. Pale kwenye mnara wa Azimio pendwa la Arusha kwenye mifereji au ukiivuka watoto wadogo kabisaa wanatafuna miraa baraa na ile kitu maarufu "cha Arusha" na hakuna anayechukua hatua!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kama ndio mara ya kwanza kufika Moshi au Arusha utashangaa sana, vijana wanakula majani kama mbuzi...Hatari sana kumbe sio majani ni Mirungi!!!

Huku polisi sio wakali kabisa juu ya utafunaji majani haya, na uuzaji wa mirungi maarufu kama "Miraa".
Na wauzaji wanafahamika na mitaa wanayouzia inafahamika. Ila hakuna mkono wa sheria juu yao.

Kwa wanaojua nini madhara ya matumizi ya mmea huu?? Na kisheria Tanzania inaruhusiwa kuliwa na kuuzwa??

Nani kaku ambia handas ina madhara wewe? ni dawa nzuri sana ya meno hiyo ina tibu na kukinga meno dhidi ya wadudu,zaidi ya yote ni kiburudisho kisicho na ghasia wala kero kwa mwenzako.
 
Arusha hizo mambo ni kawaida. Pale kwenye mnara wa Azimio pendwa la Arusha kwenye mifereji au ukiivuka watoto wadogo kabisaa wanatafuna miraa baraa na ile kitu maarufu "cha Arusha" na hakuna anayechukua hatua!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

hatuiti "kutafuna" ni "kusaga" au "kuchambua"....
 
Mirungi ni biashara halali nchini kenya na ni bidhaa inayowaingizia kipato cha kutosha wananchi wa meru nchini kenya.kulingana na ukaribu uliopo kati ya kenya na arusha ni rahisi mazao hayo kuingia arusha,na vigumu sana kwa serikali kuidhibiti.
 
Mirungi na bangi siyo haramu hata kidogo nadhani mda umefika kwa serikali kuzi legalize.
 
Ni majani hatar sana hayafai kuyatumia ni moja ya dawa za kulevya na yanaathar nyng ikiwemo kuondosha uCngzi,pia kwa wanaume kujikuta mbegu za kiume kukutoka bila ya sababu wakat unapoenda haja ndogo mbaya zaidi upoteza hamu ya tendo la ndoa na kwa hili wake zao kujikuta wakienda nje ya ndoa na madhara yake ndiyo hayo ya kuleta maradhi nyumbani,,,,,kama si mtumiaji usije jaribu ,,,,,,,kwa hili polisi wa Moshi na Arusha zibitini hili sheria mbona ipo wazi
 
Wenzetu wa Kenya mirungi aka MIRAA kwao ni zao la biashara kuna ndege maalum zinazosafirisha mirungi kwenda ulaya, america, china, pakistani, yemeni, saudia kwa mfano kuna ndege 3 zinapeleka mirungi JAMHURI YA WATU WA SOMALILAND, NA NYINGINE INAPELEKA SOMALIA, DJIBOUT. SISI TUMELALA TU NA MIRUNGI YETU INAYOPATINA KOROGWE, SAME NA LUSHOTO KAMA NASISI TUNGESAFIRSHA TUNGEPAT PESA NYINGI KWA WAKULIMA WETU WANO LIMA MAENEO YA MOMBO & SAME TANZANIA tuna product zuri sana, kama vile Shamba rungu, maua, hizi zingewasadia sana wananchi wa maeneo ya korogwe na same , mwanga, lushoto. Kuna watu wamekula hii kitu kwa miaka zaidi ya 70 na hawakupata madhari, stimu yake piya haimusiri mtu kwenye kazi zake

Ulaya ambako ndio lilikuwa soko kuu imepigwa marufuku,nchi ya kwanza ilikuwa Uholanzi na sasa ni Uingereza,kwa sasa wananchi wa Meru huko Kenya wanaitaka serikali iingilie kati kwani kwa kupigwa marufuku kuuzwa nchi za Ulaya kumewafanya maisha yao yawe ya shida
 
Gombaaaaa!!!! Hakuna kama gomba....Mleta mada sema hujawahi onja hii mambo....Unatafuna na Big G pembeni unasoda ya Sprite...Ni laana tupu..

Yani akiiddeferea na macho yake maudenda hayo mwaaaaa!!!!!!
 

Attachments

  • 37092_422822884464188_249060235_n.jpg
    37092_422822884464188_249060235_n.jpg
    38.7 KB · Views: 97
Back
Top Bottom