Miradi ya Viwanja Chini ya Halmashauri.

TZCHINA

Senior Member
Joined
Dec 6, 2019
Posts
131
Reaction score
156
Leo nilikuwa naangalia mfumo wa leseni (Tausi Portal) nikaona section ya Land Sale, wame list Halmashauri zenye miradi ya kuuza Viwanja kwa matumizi mbalimbali mfano Biashara, Makazi pia Biashara na Makazi.
Issue yangu kama wameweza kutangaza katika mfumo kwa nini wasiruhusu pia mtu kufile maombi kwa njia ya mtandao.
Maana hamna option hiyo.
Nini maoni yako kwenye Hili.
 

Attachments

  • Screenshot_20251015-133852.png
    319.9 KB · Views: 16
Vinwanja vinauzwa huko huko TAUSI.. process ya hati ndo iko nje ya TAUSI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…