Miradi ya mabilioni kuwekezwa Kigoma

Lunyungu

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
8,873
1,894
Imeandikwa na Fadhili Abdallah, Kigoma; Tarehe: 21st October 2011 Habari Leo

KAMPUNI ya City Energy and Infrustructure ya Dubai, Falme za nchi za Kiarabu inatarajia kuwekeza mtaji wa kiasi cha dola milioni 500 katika miradi mbalimbali ya maendeleo mkoani Kigoma.
Hayo yalielezwa katika hafla ya kutia saini mkataba wa makubaliano kuhusu uwekezaji huo kati ya viongozi wa kampuni hiyo na uongozi wa Serikali ya Mkoa Kigoma.
Wakizungumza na waandishi wa habari baada ya kutia saini mkataba huo, viongozi wa Kampuni ya City Energy and Infrustructure walisema kuwa uwekezaji wao kwa sehemu kubwa utajikita katika uchimbaji na usafishaji wa madini, uchimbaji wa makaa ya mawe na uzalishaji wa umeme kutokana na makaa ya mawe na mabaki ya miwa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo, Rajendra Patil alisema pia wanatarajia kujiingiza katika kilimo cha mashamba makubwa ya miwa sambamba na uzalishaji wa sukari, kilimo cha mashamba makubwa ya mahindi na uzalishaji wa bidhaa zitokanazo na mazao.
Alisema Tanzania ni nchi ya kwanza barani Afrika kwa kampuni hiyo kutaka kuwekeza kiasi kikubwa cha fedha katika miradi mbalimbali na kwamba ujio wao nchini ulitokana na mkutano kati yao na Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto ambaye aliwashawishi kuja kuwekeza mkoani Kigoma.
 
hivi watanzania sisi wenyewe tunashindwa kuwekeza kwenye kilimo? mbona jkt tuliweza kuwa na mashamba ya mahindi, mpunga nk , mapungufu yalio tokea huko nyuma yasitusababishe tujione hatuwezi, bali ni kurekebisha structure zetu zilizo kuwa zina matundu mengi na kuongeza nidhamu, kwa sababu suala la kiuchumi lina mambo mengi, ikiwa ni kuongeza dhamani ya bidhaa zetu, kutoa ajira na kuongeza ujuzi wa watu wetu
 
hivi watanzania sisi wenyewe tunashindwa kuwekeza kwenye kilimo? mbona jkt tuliweza kuwa na mashamba ya mahindi, mpunga nk , mapungufu yalio tokea huko nyuma yasitusababishe tujione hatuwezi, bali ni kurekebisha structure zetu zilizo kuwa zina matundu mengi na kuongeza nidhamu, kwa sababu suala la kiuchumi lina mambo mengi, ikiwa ni kuongeza dhamani ya bidhaa zetu, kutoa ajira na kuongeza ujuzi wa watu wetu

Mkuu soma vyema utaona nini hasa ajenda yao .Mahindi miwa ni kitu wamesema tu lakini wao wamesema wanacho kitaka na watasafirisha .
 
as long as hawanunui bali ni collateral sina issue ila kama ni yale ya pinda kwenda kuuza nchi marekani siungi mkono
 
CITY PROJECTS AND INFRASTRUCTURE

City Projects and Infrastructure is consortium of SS Group India and Dubai Pearl UAE having a diversified business conglomerate dealing in Mining, Infrastructure, Power generation, Education etc.

SS Group
S.S. Group of Companies, a $100 million conglomerate with assets worth $75 million, have traded mainly in Iron Ore Fines/CLO, coal, metal scrap, copper slag, rice, coffee, tea, sugar, molasses, groundnut, soya meal, wheat, wheat flour, maize, and other agricultural commodities in the domestic and international markets. S.S. Group of Companies are also associated with the various Public Sector Undertakings of Govt. of India and Govt. of respective States in promoting the global trade in the mutual business interests.
Dubai Pearl
Pearl Dubai FZ LLC is a consortium of investors led by the UAE’s Al Fahim Group and developers of the Dubai Pearl luxury development.
Mining
We are in the Mining of various minerals such as Coal, Iron Ore and Dolomite having our mines in India and abroad. More.
Energy
We have Power Plants with an installed capacity of 6000 MW. of Power. Our plants are located in North Karnataka. More.
Infrastructure
Built on the proposition of creating future value today, the continual supply of new experiences through our component driven offerings will ensure an unforgettable experience for anyone. Our projects have attracted an array of exclusive brands that will contribute to the long term sustainability of this urban community.
Education
The Bapuji Educational Association is one of the oldest and most prestigious educational institutions in karnataka. It came into existence in 1958 with the sole purpose of starting a first grade college in Davangere

City Energy & Infrastructure LLC
City Projects and Infrastructure is formed by a versatile group of people having immense and varied experience in building infrastructure, mining, Power Generation, Engineering and Education.
Santhosh Joseph
Santhosh Joseph is an entrepreneur with a wide range of experience and exemplary vision and business acumen . He was recently recognized by the Arabian Business review as the 9th most powerful Indian in the GCC.
Joseph is the CEO of the Dubai Pearl Project which is the single largest Real Estate Development in the Middle East today.
Dubai Pearl is a USD 4.2 Billion premium super luxury Project that consists of Sky Palaces , Branded Residential Apartments , Office and Commercial , Entertainment and Leisure at the mouth of the Jumeirah Palm with the Al Fahim Group as the sponsors.
The following is the list of entities that Mr.Joseph is connected with in the UAE.
Dubai Pearl Holdings Ltd. a DIFC company – Mr. Joseph is a Shareholder and Board Member and is also the President and CEO- the Company is a Holding Company for the DPH Group.
Pearl Dubai FZ LLC a TECOM company – Mr. Joseph is a Shareholder and Board Member and also the President and CEO – the Company is the developer of the upscale branded superluxurious USD 4.2 Billion Dubai Pearl Project at the mouth of Palm Jumeirah.
RMAL Hospitality a PJSC Company owned by the Al Fahim Group – Mr. Joseph is a Board Member and has management control of RMAL. RMAL is a hospitality company that manages hotels and is owns the restaurant franchise for famous brands such as Traders Vic , Wagamamma, Frankies, Marco Pierre White and Mai Tai at prestigious locations in the UAE.
Mindserve FZ LLC a TECOM start up company . Mr. Joseph is a Shareholder and Board Member.Mindserve is a Facility Management service provider that is gearing itself to be a leader in technology based systems that will service and manage all facilities for communities as well as stand alone buildings.
In India he is the promoter of the CityMan Group. The Group is at present involved in the development of a Gated community of about 150 acres, cardamom plantations of about 500 acres and is also incubating two projects in areas relating to energy savings and alternate energy.
The Groups future plans in India include reviving of its Garment Brand and investing into Infrastructure.

Rajendra Patil
Mr Rajendra Patil is Mechanical Engineering Graduate having an experience of 28 years in the field of Mining, Power Generation, Manufacturing, Marketing, Trading, Educational Institutions and Social Services. As a part of top management he has successfully handled many projects (Power Plants, Sugar Plants, Agri Processing Units, Electronic Goods, Mining etc) from conception to completion and further operating the same at rated capacities. He has extensively travelled across the globe to learn the implement the best practices followed in the field of Mining and Manufacturing. He was part of the AID PROGRAMMES sponsored by government of India in countries like Tazakistan, North Korea, Mongolia etc.

Arun Barad
Arun Barad is Ceramic Engineering graduate having an experience of 19 years working in various Industrial fields like Mega Steel Plants, Power Plants, Limestone Mines, Dolomite Mines etc from concept to completion in India and abroad. He is one of the leading Technologists for Limekilns globally, having travelled to many countries like Japan, Korea, Italy, Germany, Austria, Malaysia, Thailand, Oman, Qatar, Dubai etc on business.

Ashok Reddy
Ashok Reddy is a graduate engineer in Textile Engineering having an experience of 28 years in the field of Textile Manufacturing, Trading, consultancy etc. He was the first person to put up Open End Spinning plant in South India in collaboration with ELETEX, Czech Republic. He has visited many countries to learn the modern manufacturing practices in the field of Textiles. He has involved in the philanthropy activities in the state of Andrapradesh and Karnataka.

Suresh Jois
Suresh Jois is Second Generation Entrepreneur, has graduated in B.E. Mechanical , MBA ( UK ) , has 25 years experience in the Indian and Global Industry , in which he has been OEM Supplier to Hyundai, Ford Motors, Nissan in Automotive Industry for more than 15 years, and has10 years experience in Heavy Industry like setting up of Large Steel plants in India, Middle East, Africa, etc. Has widely travelled and worked with Large European, American, Korean and Japanse companies. Has been Active Member with CII , ACMA and has led business Delegation's to many countries. He is also Six Sigma Black Belt for Quality Assurance areas.

Irfan N Khan
An Engineering graduate in Industrial & Production with over 15 years Experience in cross-functional arenas in Trading & Shipping, Shipbuilding & Heavy Industries. Specialist in industrial raw materials, metals & minerals. A Seasoned and highly accomplished professional with sound knowledge in, corporate planning and implementation, identifying business opportunities, analyzing market trends, and effective communication with worldwide connection of prospective buyers and sellers.
 
mimi bado nina imani na watanzania sema tu tuwe na viongozi jasiri yaani raisi na waziri mkuu, then huo uja siri utashuka tu mpaka chini, lakini juu tukiwa na viongozi legelege, basi hata walio wazuri huku chini huharibiwa na au kufunikwa na wabaya wachache walio juu
 
Back
Top Bottom