Miradi mipya kuzalisha umeme

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,290
Reaction score
5,767
Nimesikia mara kwa mara kuwa, Bwawa la Stiglers likikamilika tutakuwa na umeme wa ziada hata wa kuuza.
Sasa nilisikia kupitia TV TANESCO wanatangaza mpango wao wa kuanza ujenzi wa mradi mpya wa maji huko Kagera/Kakono wa mabilioni ya pesa nikashindwa kuwaelewa
Naomba ufafanuzi kwa anaye elewa
 
Naona wewe uko nyuma ya wakati, kuna ujenzi wa bwawa la umeme mto Songwe kati ya Tanzania na Malawi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…