Jambo Tz
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 670
- 203
Baada ya Awamu ya tano kuona kama Mwanza ni kitovu cha uchumi kwa nchi za maziwa makuu iliwekeza katika miradi mikubwa Minne 4
Nayo ni 1-daraja la busisi ambalo kwa sasa lipo kama halipo mkandarasi hoi
02-Kituo cha mabasi Nyegezi mkandarasi Mohamed builders kila siku kesi na watawala mradi umemshida haueleweki upo au haupo
03- Soko kuu Mwanza ni kati ya miji hapa Tanzania ukitizama miundombinu yake na sifa zake za nje haiendani soko lilikuwa limechakaa Machinga mpaka barabarani Asante mama samia sasahv barabara zaonenaka
04- uwanja wa ndege huu uwanja umejengwA takribani miaka 15 unachakaa kabla ya kukamilika na ukisikia mwanza nenda Airport utachoka mwenyewe
Utajiposti ukiwa kwenye Dreamliner njoo nje ya uwanja ni uchochoro
Nyongeza
Kituo cha mabasi kisesa Nyamhongolo mchina naona anajikongoja
Nayo ni 1-daraja la busisi ambalo kwa sasa lipo kama halipo mkandarasi hoi
02-Kituo cha mabasi Nyegezi mkandarasi Mohamed builders kila siku kesi na watawala mradi umemshida haueleweki upo au haupo
03- Soko kuu Mwanza ni kati ya miji hapa Tanzania ukitizama miundombinu yake na sifa zake za nje haiendani soko lilikuwa limechakaa Machinga mpaka barabarani Asante mama samia sasahv barabara zaonenaka
04- uwanja wa ndege huu uwanja umejengwA takribani miaka 15 unachakaa kabla ya kukamilika na ukisikia mwanza nenda Airport utachoka mwenyewe
Utajiposti ukiwa kwenye Dreamliner njoo nje ya uwanja ni uchochoro
Nyongeza
Kituo cha mabasi kisesa Nyamhongolo mchina naona anajikongoja