Miraa, khat, mirungi

hahahaha, vaithe murume, hii wiki tuko na holiday saturday, so ku unwind kwa nyumba, nitanunua red label, miraa kilo moja, pkt ya embassy lights, nitafute mrembo, and then the party begins. miraa si utani wenzangu, i urge (lolest) you to try it if you haven't, watu wa A town mpo??

Hapo mkuu umenikumbusha, jumapili moja nilikuwa narudi kwenye kiota changu mitaa ya saa saba usiku, nikaamua kupitia traveltine jahazi walikuwa wanapiga, nilipoingia nikaenda kubana zangu nyuma kabisa akaja mtoto wa kiarabu mzuri kuniomba lighter. Nilipompatia akaomba kukaa na mimi tukawa tunavuta zetu fegi kwa fujo, mida ya kuondoka nikamsomba. Tulipo fika nashangaa mwenzago alipozama ****** kazama na pochi yake alipotoka kuangalia kwenye sinki naona rangi ya kijani nikashindwa kuhoji, wakati wa kupeana mavitu si kataka kula mate balaa mtot anaulimi mkali nusu anikate, hapo ndipo akili zikanijia kumbe demu ni msaga gomba wa hatari.
 
Watu wa mombasa, usisahau Sprite imetobolewa shimo :)

lolest....veve ina starehe ya ki pekee.... njugu, Patco, Big G, saa zingine sigara.. Its not like booze where you just drink the frothy stuff and black out, this thing is on its own league, from the way you separate the bark from the twig, the intervall in which you sip your drink, be it sprite, coke (imetobolewa, bigup Namtih 58), or alchohol, I prefer spirits when chewing miraa, then the feeling after chewing the stuff, MAYN.
 
Hebu wacha niulize, hii EAc ikisha kubaliwa na tuwe kitu kimoja (no pun intended tafadhali) si hii itakuwa halali, coz its allowed in the rest of the EA countries except in Tanzania, nadhani ile hoja ya majority rules ita apply in this situation.

Mimi hula veve in ma house when am relaxed and don't want the club or pub atmosphere, its relaxing to an unbelievable level, better than weed on any day, you should try it and trust you me, you will get hooked.

so u tried weed too right?
 
i tried weed back in my campus days, I dont use it now, dont like the smell and the way it makes me feel dumb, but i do smoke cigarattes, drink alchohol, chew khat, i have a string of 1 night stands,.. thats me. what about you?
 
i tried weed back in my campus days, I dont use it now, dont like the smell and the way it makes me feel dumb, but i do smoke cigarattes, drink alchohol, chew khat, i have a string of 1 night stands,.. thats me. what about you?
Oh Mungu wangu! msaidie Smatta! Kila kitu yeye natumia. Lohhhhhh.

Vitu yote hovyo kwake swafi. Lohh.

Kila chakula naweza liwa kwa choo yeye nakula bila shida. Loooooooooooo. Saidia yeye.
 
i tried weed back in my campus days, I dont use it now, dont like the smell and the way it makes me feel dumb, but i do smoke cigarattes, drink alchohol, chew khat, i have a string of 1 night stands,.. thats me. what about you?
Interesting scenario for a weekend!!!:D
 
i tried weed back in my campus days, I dont use it now, dont like the smell and the way it makes me feel dumb, but i do smoke cigarattes, drink alchohol, chew khat, i have a string of 1 night stands,.. thats me. what about you?

Wow smatta...you are a wild child!!!
 
Hapo mkuu umenikumbusha, jumapili moja nilikuwa narudi kwenye kiota changu mitaa ya saa saba usiku, nikaamua kupitia traveltine jahazi walikuwa wanapiga, nilipoingia nikaenda kubana zangu nyuma kabisa akaja mtoto wa kiarabu mzuri kuniomba lighter. Nilipompatia akaomba kukaa na mimi tukawa tunavuta zetu fegi kwa fujo, mida ya kuondoka nikamsomba. Tulipo fika nashangaa mwenzago alipozama ****** kazama na pochi yake alipotoka kuangalia kwenye sinki naona rangi ya kijani nikashindwa kuhoji, wakati wa kupeana mavitu si kataka kula mate balaa mtot anaulimi mkali nusu anikate, hapo ndipo akili zikanijia kumbe demu ni msaga gomba wa hatari.

Hahahaha, looks like you got got... lol.,,, I like the story mate, its interesting. Am sure the game was on point, miraa is like an ecstasy of sorts, brings the best out of you literaly, lol.. But the best thing about it is the creativity bit, if you have a creative mind, this thing will make you think thoughts you've never thought you'd come up with, its crazy, all you need is a pen and a writing pad and you are good to go.

But if you are not into trying out stuff please don't try, I dont want to come out as the guy who pimps drugs (read alchohol and khat) to teetotalers, all am trying to be is real and appreciate the little pleasures (read alcohol, khat and cigarettes) we have in life, its good to let your mind free at times, kill the slow brain cells, and wake up in the morning feeling like another man.

Enjoy your Friday mates.
 
Wazee wa bondeni, Arusha, mnasemaje? Wanaopinga miraa hawawatakii mema hawa!!!!
 
Dah mirung ni noma, kwanza hyo handasi yake, balaa zaidi upate fegi, halafu fegi iwe embasi(maziwa) full oooi!!!
 
Wazee wa bondeni, Arusha, mnasemaje? Wanaopinga miraa hawawatakii mema hawa!!!!

Wazee wa Bondeni-Arusha ni wabinafsi sana. Wanajifiria wenye we na HANDASI zao ili hali watoto wao wanazidi kuharibikiwa. Kilevi gani ambacho ili Handasi ipande lazima ukeshe usiku kucha unatafuna majani? Saa ngapi utalala ili uamkie kazini? Wageni wanaingia hapo na kufanya kazi kwa bidii, huku wenyeji wanalalamika kwamba hawafaidi matunda ya mkoa wao.

 
Hii kitu ina majina mengi sana, yaani kama nywele.

MIRUNGI, QAAT, KHAT, GHAT, GATI, MIRAA, GOMBA, MBAGA, VEVE, MTI, KIJITI, MAJANI, MAUA
 
Aina Zake

Alenle (yenye majani mapana mengi, na ni ghali) – Yemen, Ethiopia na Kenya

Kangeta – Kenya

Giza (ni aina ya mirungi iliyo ndogo ndogo) – Kenya

Mbaga (ni aina ya mirungi iliyo ndogo ya aina duni ambayo aghlabu ni ya bei ya chini -japo kuna baadhi ya mashamba machache sana hutoa aina yenye afadhali- na huliwa na wasiomudu kununua aina za ghali) – Tanzania
 
Madhara Yake

“Familia nyingi zinateketea, wake kukimbia waume zao, waume kutojali familia zao; hawataki kufanya kazi, jamii kujaa wavivu waombaji, wazazi na wakwe kulea wajukuu wasiongaliwa na wazazi wao, ulaghai na maasi kuzidi, ‘Ibaadah kupuuzwa, uchumi kuporomoka…”

Madhara Ya Kiafya

Matatizo na madhara ya Mirungi yaligunduliwa mwanzo katika mwaka 1935 na League Of Nations, Mwaka 1970 taasisi ya tiba ikaitenga madhara ya cathinone yanayopatikana katika Mirungi ambayo kikemikali inafanana na amphetamine, na hivyo katika mwaka 1971 ikaorodheshwa na United Nation kuwa ni miongoni mwa madawa ya kulevya.

Bwana mmoja kutoka Canada ajulikanaye kama Mathew Bryden aliyekuwa akifanya kazi na mashirika ya msaada kwa miaka mitatu huko Somalia anasema, “Watumiaji wengi wa Mirungi wamejikuta wakipambana na msisimko wake ili waweze kupata usingizi au hata kufanya kazi kisawasawa. Wanaelekea kwenye pombe au madawa ili kupata mapumziko au kupunguza hali ya wasiwasi. “Hali ilivyo Mogadishu ni watu kutawaliwa na nguvu za Mirungi, madawa au pombe,” Bwana Bryden anaendelea, “Unakuwa umevurugikiwa kabisa. Ima uharibikiwe kikamilifu au upoteze mwelekeo wa hali halisi.”


Utumiaji wa Mirungi husababisha madhara mbalimbali kiafya kama:


1. Magonjwa ya vidonda vya tumbo (ulcers);

2. Ukosefu wa haja kubwa (constipation);

3. Utumiaji wa muda mrefu husababisha kuharibu utendaji kazi wa ini, na pia kusababisha ubadilikaji rangi meno, kudhoofika, na fizi kuuma na harufu ya mdomo;

4. Upungufu wa msukumo wa kufanya jimaa (sex drive). Na pia kuwahi kumaliza haraka na kutoweza kudumu kwenye tendo la ndoa kwa muda mrefu;

5. Kupatwa na ugonjwa wa futuru/futuri/bawasiri/baasili – nyama inayoota kwenye utupu wa nyuma;

6. Upungufu wa usingizi;

7. Humpelekea mlaji kutawaliwa nayo (Addiction);

8. Walaji wengi huvuta na sigara, hata yule aliyekuwa havuti kabla ya kuanza kula Mirungi, hujikuta akizama kwenye uvutaji, na madhara huwa maradufu;

9. Madhara ambayo bado kinamama walaji Mirungi hawajagundua ni kwamba mtoto anayezaliwa na mama mlaji Mirungi mara nyingi hukataa kunyonya titi la mama yake kwa sababu ladha ya maziwa inabadilika kwa ajili ya utumiaji wa madawa (pesticides) unaotumiwa na wakulima wa Mirungi kama inavyoeleza utafiti uliofanyika na Chuo Kikuu Cha Aden (Aden University). Utafiti huo unazidi kueleza ya kwamba aina ya madawa yanayotumiwa na wakulima ni zaidi ya 118 (na nyingi katika hizo ni katika zile zilizokatazwa kisheria [illegal pesticides]) na ambazo zinasababisha asilimia 70 ya ugonjwa wa saratani (cancer) huko Yemen.

10. Utafiti mwengine kule Ethiopia unatueleza ya kuwa mtoto wa mama mwenye kula Mirungi kwa wingi huwa hana uzito wa kawaida wakati wa kuzaliwa.

11. Ukosefu wa hamu ya kula chakula na mengi mengine.
 
Inaitwa pia chama kuepuka usumbufu wa askari unaponunua hii kitu ukipata shori anaekula mkala pamoja mida ya saa 2-5 usiku alafu mkimaliza mnaenda club dance,drinks mkirudi sarakasi mpaka raha,lakini iwe weekend sifagilii wanaokula siku za kazi.
 
Vituko Na Mikasa Vya Mirungi Na Walaji Mirungi

(Kama inavyoitwa petroli “dhahabu nyeusi,” Mirungi inaitwa na walaji wake “dhahabu ya kijani”).

Matukio yafuatayo hapa chini ni ya kweli yamewahi kutokea na hakuna kilichozidishwa; yanathibitishwa na walaji katika sehemu hizo:

1. Mmoja wa wasagaji Mirungi alipohandasika alitundika koti lake pale alipo nzi ukutani akidhani ni msumari, na la kushangaza zaidi, ni pindi nzi yule aliporuka kuhamia kwengine, bwana yule alimfuata pale anapotua na kujaribu kutundika koti lake kwa mara ya pili.

2. Mwengine alijigonga kwenye mti wa stima barabarani na kuuomba msamaha akidhani amemgonga mpita njia mwenzake.

3. Dereva mmoja wa Taksi huko Arusha alikuwa amembeba abiria mzungu aliyekuwa akielekea kituo cha ndege cha KIA (Kilimanjaro International Airport) ambacho kipo katikati ya mji wa Arusha na Moshi, kwa kupandwa na ‘Handasi’, alijikuta akikipita kituo hicho na kufika Moshi mjini. Akaanza kuuliza kituo kiko wapi – pamoja na kwamba anakijua kilipo kituo ila ni ulevi wa Mirungi umempoteza-, akaulizwa ‘Kwani wewe umetokea wapi?’ Akajibu, ‘Arusha’, akaambiwa, ‘Mbona kituo umekipita huko nyuma kabla hujaingia Moshi?’…akachanganyikiwa na kuanza kurudi kwa kasi, hata alipofika kituoni, Abiria keshakosa ndege!!

4. Na huko Australia: Bwana na Bibi McDavitt wa huko Perth (Australia) walipewa “zawadi” ya mmea na rafiki yao wa Kiafrika ili wauoteshe katika bustani yao kubwa nzuri iliyopo mbele ya nyumba yao. Mti ulikuwa mkubwa na mzuri wa kuvutia. Mti ulipokuwa mkubwa kiasi, rafiki yake wa Kiafrika aliomba apunguze (pruning) majani na matawi ya huo mti huo ili uendelee kuwa mkubwa na wa kuvutia. Mtindo huu uliendelea mara kwa mara na kila mara mti unapoanza kuchipuwa vizuri, yule rafiki Mwafrika akawa anakuja na kuomba kupunguza matawi na majani kama ilivyo kawaida yake. Lakini siku moja, Bwana na Bibi McDavitt walishtuka walipoona watu wengine wa Kiafrika (na sio rafiki yao wa kila siku) wakikata matawi bila ya rukhsa yao. Hapo ndipo walipopatwa na wasiwasi kuhusu mti huo. Na baadaye wakagundua ya kuwa mti huo ni mti wa Mirungi! Wakaamua kuukata.

5. Na Djibouti: Tani kumi za Mirungi hupelekwa kila siku kwa ndege kutoka Ethiopia kuelekea Djibouti. Katika uwanja wa ndege, hakuna mgeni anayengojewa kwa hamu kama mgeni huyo (Mirungi). Zaidi ya magari 300 yanakuwa tayari kwenye kiwanja cha ndege kumpokea “mgeni” huyo wa thamani. Wafanya biashara wa Mirungi wanaitwa ‘Masultani wa Qaat.’ Ilitokea siku moja watu kushikwa na kiwewe kiwanja cha ndege walipopata habari ya kwamba huenda Mirungi isiwasili siku hiyo kwa sababu fulani fulani. Ilitokea fujo katika nchi na ilikuwa ni siku ya huzuni na watu waligoma kuondoka kiwanja cha ndege. Punde si punde, ndege iliwasili na watu walipopata habari hiyo, basi walikumbatiana kwa furaha na kupeana mikono kama vile ni Siku Kuu. Djibouti imekataa kupiga marufuku mirungi kwa sababu inaingiza serikalini kila mwaka faida ya dollar 15,000,000.- Kwa hivyo, umefanya mkataba wa Kiserikali baina ya Djibouti na Ethiopia kuhusu kutochelewesha mirungi hata siku moja.
 
Kupigwa marufuku mirungi Tanzania sio realistic kwakuwa nchi zote za Afrika mashariki inakubalika,pili mirungi ikiruhusiwa serikali italipisha kodi na kupata kipato ambacho sasa hivi wanahongwa customs na polisi.Kingine kuna wakenya wanapenda ile mirungi ya Haidaru kwa kuruhusu wakulima watapata kipato na serikali kuwalipisha kodi na labda walaji wa ulaya,marekani,mashariki ya kati na asia pia wakiizowea inaweza kutuingizia fedha za kigeni.
 
khat1a.jpg


miraa


Is Miraa banned in Tanzania? I asked my self this question after seeing several of my tanzanian friends chewing the plants here in Kenya, and can someone please explain the year that this drug was banned and the reasons. Khat growers are making a shell load of money exporting it to some countries in the West and around Africa. Tanzania having large fertile tracts of land can benefit immensley from trading on this plant, and the public can enjoy chewing it, coz its so damn good.
Effects Of Khat

Ndio ilipigwa marufuku na waziri mkurupaji Mrema...Si unajua kuna enzi hizo ambazo mawaziri wa TZ wlipewa nguvu au wlijipa nguvu za ajabu....maanake wakiamka tu wanatoa sheria mpya.....sidhani hata kama bunge ilipitisha hili swala.Inasemekana (tetesi) kuwa Mrema alikuwa na ugomvi na muuza miraa ambaye sijui alimchukulia....????
 
Back
Top Bottom