Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
hahahaha, vaithe murume, hii wiki tuko na holiday saturday, so ku unwind kwa nyumba, nitanunua red label, miraa kilo moja, pkt ya embassy lights, nitafute mrembo, and then the party begins. miraa si utani wenzangu, i urge (lolest) you to try it if you haven't, watu wa A town mpo??
Hapo mkuu umenikumbusha, jumapili moja nilikuwa narudi kwenye kiota changu mitaa ya saa saba usiku, nikaamua kupitia traveltine jahazi walikuwa wanapiga, nilipoingia nikaenda kubana zangu nyuma kabisa akaja mtoto wa kiarabu mzuri kuniomba lighter. Nilipompatia akaomba kukaa na mimi tukawa tunavuta zetu fegi kwa fujo, mida ya kuondoka nikamsomba. Tulipo fika nashangaa mwenzago alipozama ****** kazama na pochi yake alipotoka kuangalia kwenye sinki naona rangi ya kijani nikashindwa kuhoji, wakati wa kupeana mavitu si kataka kula mate balaa mtot anaulimi mkali nusu anikate, hapo ndipo akili zikanijia kumbe demu ni msaga gomba wa hatari.