Prof Gamba
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 390
- 254
Haya mengine ni kukufuru.
Mungu kawapa macho, yanaona.
Akili kawapa ya kutambua, kufikiri na zaidi ya yote KUAMUA.
Wataka awape nini zaidi, aje amuue Kikwete? Rostam?, EL?
Hata idadi yao haifiki idadi ya vidole kiganjani.
Nchi ina Population kiasi gani.? You know what I mean.
Acha kufru.
Tatizo mkuu lipo hapa ambapo Samson Mwigamba wa Tanzania daima alipasema na bado serikali inaendelea kuwasumbua wahariri wa gazeti la Tanzania daima.
| ||
|