Chukua king'amuzi cha StarTimes au kile cha ATN.mimi tv yangu haisomi chanel ten, nimeikosa.
Chukua king'amuzi cha StarTimes au kile cha ATN.mimi tv yangu haisomi chanel ten, nimeikosa.
... tuandike kabisa kwenye katiba mpya kuwa hii nchi ni ya RA. .......
tukisema helicopter ilikuwa hisani ya RA mnatoka mapovu,..mkopo wa fedha za kifisadi,kwanza mabilioni yote ya nini kama kweli hamad ni mwanamapinduzi,hili jitu halioni hata aibu.
tufute hivi vyama vya siasa, havina faida yeyote maana ni sehemu ya ulaji badala ya kuwatumikia wananchi...
Very interesting. Hakika hii ngoma ya UFISADI ni ngumu. Huyu bwana (RA) inaonekana kashikilia siasa za Tanzania kila idara - sio chama tawala, sio upinzani.
Hadi Kiongozi wa Upinzani aliyejifanya kuongea hadi mapovu yanamtoka kumbe anatamani hela za kifisadi - ze gambaz? Tunahitaji sana rehma za Mwenyezi Mungu kuchomoka hapa vinginevyo tushakuwa mateka.
Pale ambapo Jussa kasema yeye ni rafiki yake sana na RA nimestuka sana. Jussa yuko CUF then amuombee mkopo Hamad R. Kwa RA?
Kwa hiyo kumbe Jussa yupo kwenye payroll ya RA? Halafu kumbe Jussa aliteuliwa na JK kuwa mbunge? Ilikuweje mpaka JK akamteua mbunge wa CUF? Basi kama RA ana nguvu za kuwafanya hata wapinzani kumezwa, tuandike kabisa kwenye katiba mpya kuwa hii nchi ni ya RA.
CUF kwishney, tumaini lililobakia kwetu wananchi ni CHADEMA, na ndio maana na wao inabidi wawe wanajitahidi kufanya maamuzi magumu kama kumwondoa Shibuda, maana naye ni kirusi CDM.
Ninachotaka kujua ni Hamad Rashid kasema nini kama na yeye alikuwepo...! Jussa vs Hamad... lakini naona ni mipasho ya Jussa tu...!