Mipango ya Mungu (Yanayomsibu Celine Dion)

deez_811

Senior Member
Jun 24, 2015
187
204
Nimekaa nikafikiria Kama kuna mtu mwenye huzuni duniani kwa sasa atakuwa mwanamama Celine Dion sababu kafiwa na mumewe alhamis kabla hata hajamzika mumewe Jana kaka yake kafariki yaani kapoteza watu wawili muhimu kwake in 48hours kweli mipango ya Mungu ni ya ajabu na niya pekee
Ndugu zangu kifo kipo this is a wake up call for all of us
Tuangalie njia zetu
 
Nimekaa nikafikiria Kama kuna mtu mwenye huzuni duniani kwa sasa atakuwa mwanamama Celine Dion sababu kafiwa na mumewe alhamis kabla hata hajamzika mumewe Jana kaka yake kafariki yaani kapoteza watu wawili muhimu kwake in 48hours kweli mipango ya Mungu ni ya ajabu na niya pekee
Ndugu zangu kifo kipo this is a wake up call for all of us
Tuangalie njia zetu
Mungu atabaki kuwa Mungu hakuna wa kumzuia, kikubwa tukae tayari kwa lolote
 
Namshukulu mungu njia yangu ya kwenda kwa mungu ni safi kidogo, ila naendelea kuisafisha wakati wa kupita kusiwe na pingamizi lolote. wengine njia zao hazipitiki kabisa kwa madhambi yao.
 
The Bible says : "God is Love" 1 John 4:8
how can the Loving God be behind all deaths that accurs daily,be it man made, or natural disasters?
 
Pole yake dada Celine dion kwa kufiwa maana kifo hakizoeleki, lakini tukizungumzia watu waliofiwa na watu muhimu ktk maisha kwa mfululizo mimi nina jamaa zangu walishafiwa mfululizo watu 10 ndani ya siku 3 tu.
 
Nimekaa nikafikiria Kama kuna mtu mwenye huzuni duniani kwa sasa atakuwa mwanamama Celine Dion sababu kafiwa na mumewe alhamis kabla hata hajamzika mumewe Jana kaka yake kafariki yaani kapoteza watu wawili muhimu kwake in 48hours kweli mipango ya Mungu ni ya ajabu na niya pekee
Ndugu zangu kifo kipo this is a wake up call for all of us
Tuangalie njia zetu

Kama mungu yupo, kwa nini aruhusu mipango yake imnyang'anye Celine Dion mume wake na kaka yake katika kipindi kifupi hivyo?

Huyo mungu alishindwa kumpa Celine Dion hata mwezi?
 
Huko Burkina Faso kuna Ndugu wa canada wamepoteza watu sita kwenye shambulio la kigaidi lililotokea kwenye hotel ya splendid
Hapa mkuu ume dig deep kwamba ule usemi unadhani una matatizo??? Mimi Nina matatizo zaidi yako ndio nauweka humo kwenye comment...
 
Hapa mkuu ume dig deep kwamba ule usemi unadhani una matatizo??? Mimi Nina matatizo zaidi yako ndio nauweka humo kwenye comment...
Mkuu na mimi nina matatizo, usemi wako hauna matatizo, ila nilitaka uone kwamba kuna watu wana matatizo makubwa zaidi.
 
kwa hiyo mkuu ulikuwa unataka kusemaje labda!
Mungu anasingiziwa mambo asiyosababisha.Mtu anafanya kosa anapata tatizo alafu watu wanasema ni mipango ya Mungu.Je umejua kwa nini mtu Fulani amekufa? je labda sababu ni kutumia dawa za kulevya kama ilivyo kwa wasanii wengi? Au amekufa kwa accident ya gari na aliendesha akiwa amelewa? Au amekufa kwa kansa sababu ya uvutaji sigara?
Jua sababu kwanza
 
Back
Top Bottom