Mipango ya 2015 Timu ya Lowassa yateua msemaji!

Mh....! Mambo haya kabla ya uchaguzi nashindwaga kumake a final judgement. Still observing the situation towards the next general election.
 
we paskali wewe..............:welcome:
 
mkuu nimeona jina linafanana kama la kwako kwenye orodha ya mawaziri watarajiwa..... hivi unaitwa Pasco, Paskali au paschal????????????????

Kaka; Pasco,Paskali, Paschal..! They all sound the same I gues! Kuna cha kujitetea hapa?
 
mkuu nimeona jina linafanana kama la kwako kwenye orodha ya mawaziri watarajiwa..... hivi unaitwa Pasco, Paskali au paschal????????????????
Mkuu ujinga, acha ujinga!, hilo jina litakuwa ni ni kama!.
 
Mkuu ujinga, acha ujinga!, hilo jina litakuwa ni ni kama!.

basi mkuu nimeeacha ila lengo langu lilikuwa jema, nakutakia kila la kheri maana naamini ukipata nimepata pia....... hata bodi ya wakurugengi ya Ujinga Jazz Band utanipa mkuuu..............
 
Seriousely: ntawezaje kujiunga kwenye mtandao wake ili nimsaidie ktk kampeni? from now!
 
kumbe?

Rais wa 1-Kanda ya Ziwa-Nyerere
Rais wa 2-Zanzibar-Mwinyi
Rais wa 3-Kusini -Mkapa
Rais wa 4-Pwani-Kkiwete
Rais wa 5-Kaskazini-LOWASA
upo

Nilidhani kasikazini hawafai. Au hawafai wakiwa CDM wanafaa wakitokea CCYENU?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…