Mipangilio ya chakula kwenye baadhi ya migahawa Dodoma ilinishangaza

Mipangilio ya chakula kwenye baadhi ya migahawa Dodoma ilinishangaza

chai ya rangi

Senior Member
Joined
Mar 7, 2026
Posts
130
Reaction score
403
Nilizoea kukuta menu za kawaida kama wali maharage, pilau nyama,
wali mboganboga na kadhalika.

Nilipoenda Dodoma kuna migahawa nikakuta wanauza wali ugali nilishangazwa nikijaribu lakini sikupendezwa nayo kabisa. Baadae nikasikia pia kuna menu zaidi kama, ugali burger, piza maharage, ugali ugali, samaki samaki, etc
 
Ugali dagaa, wali nyama, wali maharage, ugali maharagea walau huu mpangilio utaeleweka
 
Back
Top Bottom