Miongozo ya kidini bado muda?

Miongozo ya kidini bado muda?

bobo lee

Senior Member
Joined
Dec 31, 2013
Posts
111
Reaction score
19
Kwa kipindi chote cha awamu ya NNE ya Dr jakaya kikwete mwaka 2005 na 2010 makanisa yalikuwa mbogo kutoa miongozo mbalimbali kwa waumini na watanzania kwa ujumla wakiwaelekeza ni namna gani wachague viongozi wa
kuwaongoza.Cha kushangaza mpaka sasa si wakatoliki,walutheli,waanglikana,walokole au jukwaa LA kikristu waliotoa machapisho yao.Sasa najiuliza muda bado au kwa vile wagombea wote magufuli,lowasa na mughwira ni wa dini moja wameridhika
 
Kwa kipindi chote cha awamu ya NNE ya Dr jakaya kikwete mwaka 2005 na 2010 makanisa yalikuwa mbogo kutoa miongozo mbalimbali kwa waumini na watanzania kwa ujumla wakiwaelekeza ni namna gani wachague viongozi wa
kuwaongoza.Cha kushangaza mpaka sasa si wakatoliki,walutheli,waanglikana,walokole au jukwaa LA kikristu waliotoa machapisho yao.Sasa najiuliza muda bado au kwa vile wagombea wote magufuli,lowasa na mughwira ni wa dini moja wameridhika

Pasco .......
 
Last edited by a moderator:
Mwaka huu ndo maana kina Slaa na Mwanakijiji wanahangaika na Lowasa
mgombea wa Pengo yuko CCM..
cc Ritz
 
Last edited by a moderator:
Good question...mara hii jamani woote wa upande mmoja...hivyo hatuhitaji miongozo wala matamko
 
Mwaka huu ndo maana kina Slaa na Mwanakijiji wanahangaika na Lowasa
mgombea wa Pengo yuko CCM..
cc Ritz
Kuna watu niliwashangaa, ila sasa najaribu kuwaelewa, usikute ni RC!, hivyo kuliko KKKT bora wamuunge mkono mwenzao!, nilipouliza hata kama ni shetani?, sikujibiwa!, mashambulizi yanaendelea kuelekezwa kwa aliyekuwa shetani, ambaye sasa ni malaika, ila aliye shetani wa sasa anaachwa!.

Pasco
 
Kuna watu niliwashangaa, ila sasa najaribu kuwaelewa, usikute ni RC!, hivyo kuliko KKKT bora wamuunge mkono mwenzao!, nilipouliza hata kama ni shetani?, sikujibiwa!, mashambulizi yanaendelea kuelekezwa kwa aliyekuwa shetani, ambaye sasa ni malaika, ila aliye shetani wa sasa anaachwa!.

Pasco




catholic connection is very real
 
Naona ata kwenye vyuo vya dini mfano St. Augustine wanafunzi wamejiandikisha kwenye daftari wakiwa chuoni ila hawatapiga kura kwenye vituo walivyojiandikisha sababu tarehe ya kufungua chuo imesogezwa adi baada ya uchaguzi, this means wanafunzi wengi hawatapiga kura na hiyo iko wazi kuwa vijana wengi wapo upande wa nani......
 
kwa kipindi chote cha awamu ya nne ya dr jakaya kikwete mwaka 2005 na 2010 makanisa yalikuwa mbogo kutoa miongozo mbalimbali kwa waumini na watanzania kwa ujumla wakiwaelekeza ni namna gani wachague viongozi wa
kuwaongoza.cha kushangaza mpaka sasa si wakatoliki,walutheli,waanglikana,walokole au jukwaa la kikristu waliotoa machapisho yao.sasa najiuliza muda bado au kwa vile wagombea wote magufuli,lowasa na mughwira ni wa dini moja wameridhika

wakatoliki sometimes ni wadini sana, sijui kwanini walikuwa hamtaki muislamu kikwete kiasi kile, hadi programme ya mafunzo ya waamini wao kuhusu uchaguzi , wakitoka hapo wanasema kikwete ndo mdini!
Mwaka huu kimya!!!!! Hakuna cha waraka wala mafunzo, kama ilivyokuwa 2010
wengine wanasema wakatolili wameathiriwa sana kibiashara kwa uwepo wa shule za kata, udom, na zahanati za kata, walizoea kudominate biashara katika areas hizi alizozisimamia kikwete kwa nguvu!
Hakika mungu atamlipa jk kwa kujaribu kufuta matabaka, leo hii hassan naye anasoma kama john, rungu la mungu limeanza kumuangukia dr salaa coz ni miongoni mwa waliomsumbua sana jk hasa baada ya kushinswa kwenye uchaguzi
 
Halafu Waislamu tunaitwa wadini, duh...watu kimyaaaa hadi leo hakuna waraka.
 
Tatizo kwenye raha wanakuwa wao tu lakini kwenye shida wanataka ushirikiano. Wakatoliki walimsumbua kikwete sana 2010 wakampa Dr Slaa nguvu. Leo kimya kisa ndugu Yao yupo tumeona juzi kupitia kwa Dr Slaa ubaguzi wao basi sisi wa lutherani na ndugu zetu waislam tujitenge tujue ukweli uko wapi
 
Halafu Waislamu tunaitwa wadini, duh...watu kimyaaaa hadi leo hakuna waraka.

CCM wangempitisha Amina au Asha leo ingekuwa ni vita za waraka
UKAWA wangeungana na makanisa yoote kuipiga vita CCM
 
wakatoliki sometimes ni wadini sana, sijui kwanini walikuwa hamtaki muislamu kikwete kiasi kile, hadi programme ya mafunzo ya waamini wao kuhusu uchaguzi , wakitoka hapo wanasema kikwete ndo mdini!
Mwaka huu kimya!!!!! Hakuna cha waraka wala mafunzo, kama ilivyokuwa 2010
wengine wanasema wakatolili wameathiriwa sana kibiashara kwa uwepo wa shule za kata, udom, na zahanati za kata, walizoea kudominate biashara katika areas hizi alizozisimamia kikwete kwa nguvu!
Hakika mungu atamlipa jk kwa kujaribu kufuta matabaka, leo hii hassan naye anasoma kama john, rungu la mungu limeanza kumuangukia dr salaa coz ni miongoni mwa waliomsumbua sana jk hasa baada ya kushinswa kwenye uchaguzi

Hata hivyo jk amefeli sana kwa kuwaogopa hao maaskofu wa katoliki na kuwasikiliza sana kila wanachoomba waislamu wanaungana kwa nguvu zote na kushinikiza serikali hata kuitisha kupinga maombi ya msingi kabisa ya waislam, waliandamana bungeni kupinga mahakama ya kadhi eti kutishia kuipinga katiba,
 
Back
Top Bottom