Kwa kipindi chote cha awamu ya NNE ya Dr jakaya kikwete mwaka 2005 na 2010 makanisa yalikuwa mbogo kutoa miongozo mbalimbali kwa waumini na watanzania kwa ujumla wakiwaelekeza ni namna gani wachague viongozi wa
kuwaongoza.Cha kushangaza mpaka sasa si wakatoliki,walutheli,waanglikana,walokole au jukwaa LA kikristu waliotoa machapisho yao.Sasa najiuliza muda bado au kwa vile wagombea wote magufuli,lowasa na mughwira ni wa dini moja wameridhika
kuwaongoza.Cha kushangaza mpaka sasa si wakatoliki,walutheli,waanglikana,walokole au jukwaa LA kikristu waliotoa machapisho yao.Sasa najiuliza muda bado au kwa vile wagombea wote magufuli,lowasa na mughwira ni wa dini moja wameridhika