Yawezekana mkuu, vinginevyo ni ngumu sana kufanya hiyo kazi tena kwa umri huo. Wanahitaji kutunzwa na kufanya shughuli ndogo ndogo maana hawana nguvu za pilikapilika kama vijana.
Indeed very sad! Ila hakuenda kuimba ana imani na kasi mpya jumatatu pale Diamond sijui? Maana we have sang that song almost endlessly and nothing good come out of those we trust