[Mini Rant] - Airtel Usage Tracker and Recycling

ub16

JF-Expert Member
Feb 19, 2013
420
316
Nilitaka kuleta rant yangu kidogo na hili jukwaa ndo the closest related I can find, moderators mnaweza kuhamisha mada kama hapa si mahala pake

Siku mbili zilizopita nilienda airtel kudai namba yangu ya simu, flashback kidogo hii si mara ya kwanza, mara ya kwanza ilikuwa mwezi wa saba na wakadai kuwa sikutumia SIM yangu kwa siku tisini(90) kitu ambacho si cha kweli, bahati mbaya sikuwa na ushahidi sababu nilikuwa nikiformat simu mara kwa mara, hivyo basi nikapoteza namba yangu ambayo nimetumia kwa miaka sita(6) na wakampatia mtu mwingine a.k.a Recycle, ikanibidi nisajili namba mpya.

Back to the present, wakati huu nikawa nina ushahidi wa kutosha kukiwa na messages na call log zikionyesha mara ya mwisho namba yangu mpya kutumika ni November 29 2013 lakini bado wanadai system yao inaonyesha sijatumia namba yangu kwa zaidi ya siku tisini(90) na kuwa haiexist, hivyo wameifunga na hawawezi kunipatia, ila wataifungua na kumpatia mtu mwingine baada ya wiki/miezi kadhaa a.k.a Recycle

Kwa mnaofahamu zaidi telecom mtanirekebisha ila kwa mtazamo wangu mfumo wa kurecycle namba za simu ni upuuzi na usumbufu uliopitiliza hususani kama namba zimeunganishwa na shughuli za kibenki.

Tatizo(Possible):
  • System yao ya kuweka kumbukumbu haifanyi kazi ipasavyo
  • Vigezo vya simu kuwa in use haviko sawa

Solutions:

  • Fix your stupid buggy sytem
  • Mtaarifu mteja siku kadhaa kabla ya namba kufungwa, tena mara kadhaa
  • Kama mteja ana ushahidi wa kuonyesha namba ilitumika arudishiwe namba
  • Kama wanafunga namba wataarifu huduma zote ambazo namba husika imeunganishwa i.e benki, ving'amuzi, dawasco etc

Conclusion:
Kutokana na usumbufu niliopata nadhani ndoa yangu na airtel imefikia kikomo, nimesumbuana nao mpaka nimechoka
 
Dawa ni kuingia mahakamani kaka...
na utapata fidia pia
.
.hawa ndo ma mitandao yetu

Jamaa watanifilisi hawa, their legal muscles are just beyond me, unless if I get other people who faced the same problem the likelihood of getting out victorious in court is almost improbable
 
Jamaa watanifilisi hawa, their legal muscles are just beyond me, unless if I get other people who faced the same problem the likelihood of getting out victorious in court is almost improbable

.
U will wait for a long time, if u still hvng the idea of getting other people who faced the same problem...
.
in my opinion i recommend u to find the friends u communicated with at the last time, as the evidence in the court of justice...
 
Jamaa watanifilisi hawa, their legal muscles are just beyond me, unless if I get other people who faced the same problem the likelihood of getting out victorious in court is almost improbable

Mahakama ya baishara sio complex kiasi hicho. Kama una ushahidi wa kutosha nenda ukawape changamoto tu!
 
Back
Top Bottom