hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 54,297
- 80,153
Yeah. Umesema kweli tupuHao ni wahanga wa ajira ukipost vitu kama hivi wanaumia sana na kupata hasira
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah. Umesema kweli tupuHao ni wahanga wa ajira ukipost vitu kama hivi wanaumia sana na kupata hasira
Absolutely broWewe juzi ulisifia kilimo leo jingine, Soma gazeti la mwananchi leo kuhusu waliojiajiri kulima mbaazi na hasara wanayopata
Mwananchi tarehe 21 March 2018
Usilaumu bila kutafiti, wewe unauliza maswali juu juu, Kwani tulipeleka madaktari India ili wajiajiri au watusaidie wakirudi kuepukana na magonjwa haya tunayoshindwa kuyafanyia tafiti
Sio kila alienda shule lengo lilikuwa akimaliza afanye biashara wengine tuliwapeleka waje saidia kufanya tafiti za kilimo kusaidia watu wengine
Wewe ni zero brain