Minazi ni bora kuliko mikorosho

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,630
44,898
Kwanza kimsingi Kabisa kilimo cha nchi zetu hizi za kimaskini return yake huwa ni ndogo sana tunalima basi tu ku jikeep busy na walau kupata chakula ila kutoboa ni uongo ndo maana wakulima ni wengi miaka yote maisha yao unayaona yalivyo. Kwa wale wakazi tunaoishi mikoa ya pwani na hasa pwani ya kusini Lindi, Mtwara na pwani yenyewe kuna mazao mawili maarufu sana mikorosho na minazi.Kwa mawazo yangu mimi nimeona kuna faida kuwekeza kwenye minazi zaidi kwa sababu.

1. Minazi haithariwi na mabadiliko ya hali ya hewa hata mvua inyeshe isinyeshe yenyewe itazaa kama kawaida, halafu minazi unaponunua tu shamba instantly unaanza kuvuna ila mikorosho ukisema uipande leo itabidi ukae miaka mitatu ukiihudumia ndipo ianze kutoa korosho.

2. Operation cost za minazi ni ndogo mfano shamba la minazi 100 unaweza ukawa na wakwezi wawili tu wanaosafisha minazi na kupanda na kuangua na hata malipo yao yanatokana nazi hizohizo utakazoangushiwa ila mikorosho yenyewe gharama kwenye kuandaa shamba, madawa na hata kwenye kuvuna yaani kila kipengele kinahitaji watu kama shamba kubwa lazima ulete kikundi cha watu 40 na wote wanahitaji hela.

3. Bei ya nazi inazidi kupanda maradufu na kila baada ya miezi mitatu unavuna nazi imagine mnazi mmoja ukatoa nazi 50 na una minazi 200 kila baada ya miezi mitatu unavuna nazi 1000 tufanye kila nazi unauza 700 maana yake una 700000 sio haba sana kama una mishe zako nyingine. Ila mikorosho haileweki kuna mwaka chali hupati kitu kisa mvua kubwa na bado bei inabadilika badilika.

NB: Shamba la minazi mikubwa kuanzia minazi 50 unaweza kuuziwa kwenye million 5 hivi mtu akiwa na shida.
 
Kwanza kimsingi Kabisa kilimo cha nchi zetu hizi za kimaskini return yake huwa ni ndogo sana tunalima basi tu ku jikeep busy na walahu kupata chakula ila kutoboa ni uongo ndo maana wakulima ni wengi miaka yote maisha yao unayaona yalivyo.Kwa wale wakazi tunaoishi mikoa ya pwani na hasa pwani ya kusini lindi,mtwara na pwani yenyewe kuna mazao mawili maarufu sana mikorosho na minazi.Kwa mawazo yangu mimi nimeona kuna faida kuwekeza kwenye minazi zaidi kwa sababu

1.Minazi haithariwi na mabadiliko ya hali ya hewa hata mvua inyeshe isinyeshe yenyewe itazaa kama kawaida.halafu minazi unaponunua tu shamba instantly unaanza kuvuna ila mikorosho ukisema uipande leo itabidi ukae miaka mitatu ukiihudumia ndipo ianze kutoa korosho.

2.Operation cost za minazi ni ndogo mfano shamba la minazi 100 unaweza ukawa na wakwezi wawili tu wanaosafisha minazi na kupanda na kuangua na hata malipo yao yanatokana nazi hizohizo utakazoangushiwa ila mikorosho yenyewe gharama kwenye kuandaa shamba,madawa na hata kwenye kuvuna yaani kila kipengele kinahitaji watu kama shamba kubwa lazima ulete kikundi cha watu 40 na wote wanahitaji hela.

3.Bei ya nazi inazidi kupanda maradufu na kila baada ya miezi mitatu unavuna nazi imagine mnazi mmoja ukatoa nazi 50 na una minazi 200 kila baada ya miezi mitatu unavuna nazi 1000 tufanye kila nazi unauza 700 maana yake una 700000 sio haba sana kama una mishe zako nyingine.Ila mikorosho haileweki kuna mwaka chali hupati kitu kisa mvua kubwa na bado bei inabadilika badilika.

NB:shamba la minazi mikubwa kuanzia minazi 50 unaweza kuuziwa kwenye million 5 hivi mtu akiwa na shida.
Hivi nikihitaji mbegu za nazi naweza kuzipata? Je ukipanda sehemu kama mbeya zitasitawi?
Je kwa huko mbegu zinauzwaje? Zinachukua muda gani mpaka zianze kuvunwa?

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Mti mmoja wa Nazi unazaa kiasi gani cha Nazi kwa msimu na hali kadhalika kwenye Mkorosho?
OK.. mnazi mmoja kila baada ya miezi mitatu unaweza ukatoa nazi 50-75


Ila mkorosho kwa msimu wote wa mwaka inategemea inaweza ikatokea usizae kabisa hata kidogo
 
Hivi nikihitaji mbegu za nazi naweza kuzipata? Je ukipanda sehemu kama mbeya zitasitawi ?
Je kwa huko mbegu zinauzwaje ?zinachukua muda gani mpaka zianze kuvunwa ?

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Mbegu za mche wa mnazi 3000-5000
Zinachukua miaka 4-5 kukua
Kuhusu kukubali Mbeya sina uhakika ila minazi inakubali vyote vyote majimaji na sehemu za joto pia.
 
Acha na usio zaa hebu weka ule Mkorosho uliozaa vizuri, ule Mnazi uliozaa vizuri.
Mnazi mzuri ukizaa 75 na kuendelea kila baada ya miezi mitatu kama nilivyosema

Ila mikorosho ina changamoto moja, hii ya kisasa miti yake ni midogo hivyo korosho lazima zitoke kidogo solution ni upande shamba kubwa sana ila kuna ile ya asili hasa Liwale, Newala, Tandahimba ile unakutana na mkorosho mkubwa kama mwembe ile ndo unapata nyingi.

Siwezi kukupa kipimo cha moja kwa moja kwamba labda kilo kadhaa mazao yanaathiriwa na mambo mengi...ila sasa kupata shamba lenye mikorosho ya asili ndo changamoto hupati kirahisi hawaiachii kirahisi lazima ulime wewe kumbuka shamba lazima liwe kubwa sana usionekane umelima kichekechekea na ndipo operation cost zinakuwa kubwa huwezi labda uwe tajiri sana million 50 zimekaa bank.
 
Mnazi mzuri ukizaa 75 na kuendelea kila baada ya miezi mitatu kama nilivyosema

Ila mikorosho ina changamoto moja hii ya kisasa miti yake ni midogo hivyo korosho lazima zitoke kidogo solution ni upande shamba kubwa sana ila kuna ile ya asili hasa liwale,newala,tandahimba ile unakutana na mkorosho mkubwa kama mwembe ile ndo unapata nyingi siwezi kukupa kipimo cha moja kwa moja kwamba labda kilo kadhaa mazao yanaathiriwa na mambo mengi...ila sasa kupata shamba lenye mikorosho ya asili ndo changamoto hupati kirahisi hawaiachii kirahisi lazima ulime wewe kumbuka shamba lazima liwe kubwa sana usionekane umelima kichekechekea na ndipo operation cost zinakuwa kubwa huwezi labda uwe tajiri sana million 50 zimekaa bank
Hivi unaweza kuchanganya mikorosho na minazi kwenye shamba moja? Yaani mstari huu ukapanda mikorosho na mstari mwingine ukapanda minazi?? Nilishaandaa shamba so nawaza hilo jambo
 
Hivi unaweza kuchanganya mikorosho na minazi kwenye shamba moja? Yaani mstari huu ukapanda mikorosho na mstari mwingine ukapanda minazi?? Nilishaandaa shamba so nawaza hilo jambo
Inawezekana kabisa wataalam ukiwauliza watakupa distance ya mti na mti ili nafasi ya mwanga ipatikane maana minazi ukiibananisha sana inatengeneza kigiza fulani
 
Mnazi mzuri ukizaa 75 na kuendelea kila baada ya miezi mitatu kama nilivyosema

Ila mikorosho ina changamoto moja hii ya kisasa miti yake ni midogo hivyo korosho lazima zitoke kidogo solution ni upande shamba kubwa sana ila kuna ile ya asili hasa liwale,newala,tandahimba ile unakutana na mkorosho mkubwa kama mwembe ile ndo unapata nyingi siwezi kukupa kipimo cha moja kwa moja kwamba labda kilo kadhaa mazao yanaathiriwa na mambo mengi...ila sasa kupata shamba lenye mikorosho ya asili ndo changamoto hupati kirahisi hawaiachii kirahisi lazima ulime wewe kumbuka shamba lazima liwe kubwa sana usionekane umelima kichekechekea na ndipo operation cost zinakuwa kubwa huwezi labda uwe tajiri sana million 50 zimekaa bank
Unazunguka sana mbona mmh si ujibu kama huo mnazi ulivyouelezea
 
Nazi unavuna zaidi ya mara tatu kwa mwaka... Mnazi unachukua eneo dogo au inakuwa mingi kuliko mikorosho...
Kwanza kimsingi Kabisa kilimo cha nchi zetu hizi za kimaskini return yake huwa ni ndogo sana tunalima basi tu ku jikeep busy na walahu kupata chakula ila kutoboa ni uongo ndo maana wakulima ni wengi miaka yote maisha yao unayaona yalivyo.Kwa wale wakazi tunaoishi mikoa ya pwani na hasa pwani ya kusini lindi, Mtwara na pwani yenyewe kuna mazao mawili maarufu sana mikorosho na minazi.Kwa mawazo yangu mimi nimeona kuna faida kuwekeza kwenye minazi zaidi kwa sababu.

1. Minazi haithariwi na mabadiliko ya hali ya hewa hata mvua inyeshe isinyeshe yenyewe itazaa kama kawaida, halafu minazi unaponunua tu shamba instantly unaanza kuvuna ila mikorosho ukisema uipande leo itabidi ukae miaka mitatu ukiihudumia ndipo ianze kutoa korosho.

2. Operation cost za minazi ni ndogo mfano shamba la minazi 100 unaweza ukawa na wakwezi wawili tu wanaosafisha minazi na kupanda na kuangua na hata malipo yao yanatokana nazi hizohizo utakazoangushiwa ila mikorosho yenyewe gharama kwenye kuandaa shamba,madawa na hata kwenye kuvuna yaani kila kipengele kinahitaji watu kama shamba kubwa lazima ulete kikundi cha watu 40 na wote wanahitaji hela.

3. Bei ya nazi inazidi kupanda maradufu na kila baada ya miezi mitatu unavuna nazi imagine mnazi mmoja ukatoa nazi 50 na una minazi 200 kila baada ya miezi mitatu unavuna nazi 1000 tufanye kila nazi unauza 700 maana yake una 700000 sio haba sana kama una mishe zako nyingine.Ila mikorosho haileweki kuna mwaka chali hupati kitu kisa mvua kubwa na bado bei inabadilika badilika.

NB: Shamba la minazi mikubwa kuanzia minazi 50 unaweza kuuziwa kwenye million 5 hivi mtu akiwa na shida.
 
Nataka nianzishe hilo shamba maeneo ya Namtumbo. So kwa heka moja inakaa minazi kiasi gani?
Sorry niwe mkweli mimi mwenyewe bado sina uzoefu sana na kilimo hiki nimekuja kukutana nacho kwa mara ya kwanza ukubwani kuna maeneo ambayo maarufu kwa minazi tu mfano Ng'apa Lindi pale imebananishwa sana so kwa hekari ni mingi tu let's say 100...ila yako maeneo sijui ndo tuseme ilijiotea unakuta iko randomly ila 50 minimum kbs kwa hekari kwa mawazo yangu lakini.
 
Back
Top Bottom