Amechaguliwa mchepuo(combination) ganiWanaJF habari zenu,naombeni kufahamu kuhusu shule ya minaki mwanangu kachaguliwa nataka kumpeleka.Je mazingira yapo vizuri kuruhusu mwanafunzi kusoma vema? Na walimu wapo?
ArushaMwanao anatokea wapi?
Amechaguliwa mchepuo(combination) gani
Shule ina mazingira mazuri ile pia ni shule kutegemewa na yenye historia nzuri. Nadhani yuko sehemu sahihi.Arusha
nina wakwangu kachaguliwa EGM please ninaomba ushauri anatokea shule ya seminary mikoa ya kaskaziniAmechaguliwa mchepuo(combination) gani
Kachaguliwa Minaki? Kama ndio aende akapambane atatoboa. EGM sio kombi ngumu, ni rahisi kufaulu.nina wakwangu kachaguliwa EGM please ninaomba ushauri anatokea shule ya seminary mikoa ya kaskazini
Bila shaka dogo sasa hivi ataingia form 6 muda si mrefu..?
Sana sana. Kina Mzee mkapa. Na wengineo walisoma pale. Mwenzenu kidato cha 5 na 6 nilikuwa pale. Maisha yangu yalitengezwa pale. Pazuri. Sina uhakika na ualimu wao kwa sasa. Ila mpeleke tu pako vizuri mno mnoShule ina mazingira mazuri ile pia ni shule kutegemewa na yenye historia nzuri. Nadhani yuko sehemu sahihi.
Suala la waalimu siwezi kujua kama wapo au lah ila mazingira ya pale yanampa ruhusa nzuri mtoto kujisomea na pia historia ya shule.
asante sanaKachaguliwa Minaki? Kama ndio aende akapambane atatoboa. EGM sio kombi ngumu, ni rahisi kufaulu.
Hiyo kombi kwa shule za Pugu, Minaki wanafunzi wanatoboa vizuri tu.
Kikubwa umueleze, Shule ya Serikali na Seminary ni tofauti. Shule ya serikali hakuna kutafuniwa kama ilivyo seminary, ni kupambana kwa asilimia kubwa.
asante sana
Hahaha umenikumbusha Second Master wetu advance shule moja ile tumefika form 5 akawa anatukaribisha kwamba kuchaguliwa tu kujiunga hapa una division two tayari ni ww tu kuilinda au kuibomoa!FUNGUS ilitutesa sana hapo Minaki enzi za zamani japo sijui kama bado yapo au laah.
EGM na HGE enzi zetu zile tayari angeshapata div 3 kabla ya kufika shule na akifika tu shule anayo 2 tayari ...akipiga kitabu kidogo anayo 1.
Mwambie akakaze buti...
Moja ya shule bora kabisa.Sana sana. Kina Mzee mkapa. Na wengineo walisoma pale. Mwenzenu kidato cha 5 na 6 nilikuwa pale. Maisha yangu yalitengezwa pale. Pazuri. Sina uhakika na ualimu wao kwa sasa. Ila mpeleke tu pako vizuri mno mno
Very underrated ...nilipita late eighties ..piga soka sana, mbege, kinibu na tulicheza sana kidude..Moja ya shule bora kabisa.
Tumepitia hapo na Jafo akiwa waziri wa chakula
Mbege mlikuwa mnapigia Kisarawe?Very underrated ...nilipita late eighties ..piga soka sana, mbege, kinibu na tulicheza sana kidude..