Mzalendojr
Senior Member
- Jul 29, 2015
- 174
- 46
kura yangu kwa magufuli
nimewauliza majirani zangu kama nyumba 12 wanasema kura zao ni kwa buldoza-tingatinga kiboko ya mafisadi dr jpj. Mag. Ila ubunge na udiwani ni kwa act-wazalendo
kura yangu kwa magufuli
MIMI TAREHE 25 NI CCM:
Nimejipanga kisaikolojia,kimwili na kiakili,mimi tarehe 25 Oktoba kura yangu ni kwa CCM tuu