Mimi sio single tena

Nadhani heading mmeiyelewa .

Asanteni na usiku mwema. So nimewahiwa na mtu ninayempenda.

Mafree manson naombeni mniache,namuache kutumia watu(group la makafara ) niacheni tafadhali.

Mniache kwa damu ya yesu kristo.
Sio yesu kristo ni "Yesu Kristo"
 
Mwanaume anaweza kumfanya mwanamke ampende, ila mwanaume kama hampendi mwanamke, mwanamke hana anachoweza kufanya yule mwanaume ampende, hakuna.
HII nyundo ngumu wachache TU wanaweza kuielewa Mwanaume akisema NO ni big NO hakuna bla bla nyingi Ila upande wa Pili akisema NO kesho pita na ndinga safi m'mae uone anavyoanza kulowana CHUPI
 
Nadhani heading mmeiyelewa .

Asanteni na usiku mwema. So nimewahiwa na mtu ninayempenda.

Mafree manson naombeni mniache,namuache kutumia watu(group la makafara ) niacheni tafadhali.

Mniache kwa damu ya yesu kristo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nausindikiza huu uzi na nyimbo mbali mbali
 
Nadhani heading mmeiyelewa .

Asanteni na usiku mwema. So nimewahiwa na mtu ninayempenda.

Mafree manson naombeni mniache,namuache kutumia watu(group la makafara ) niacheni tafadhali.

Mniache kwa damu ya yesu kristo.
Una dalili za awali za tatizo la afya ya akili,waone matabibu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…