C_O
Member
- Jan 3, 2019
- 54
- 33
Nazani sikwamba hatuna utamaduni wakununua vyakula vilivyo kuwa packed ilaa ni kwamba the level of social development ndani ya nchi ni ndogo sana laiti kama tutaweza kujikwamua kutoka kweny level ya uchumi tuliopo kama mpango wa serikali ulivyoo basi jua tutakuwa pia na social development/welfare ambo ndipo utapoona watu wanaprefer safety and healthier product kama izoo ni sawa leo watu wengi wanalalamika kuhusu kilimo cha maind kutokuwa na faida yote io nazani ni kwasababu ya unga packed watu wengi leo ii wanatumia unga kama uo soo musishangae itakapo kuja time mchele pia utakuwa ivyo ivyo kwa mfano unaambia in the continent ambapo once lilikuwa halitamaniki which is Africa ofcoz, out of every three people ina Africa one is in middle class pia for top ten countries zinazo kuwa kwa kasi kiuchumi duniani 4 to 6 of them there in Africa (opportunity just knocking out of your door)Wabongo hatuna utamaduni wa kununua packaged food,ungesema labda upack halafu uexport kwenda mfano kenya sawa,ila kwa hapa utauza labda mifuko 50 ya kilo mbili,na bidhaa itakudodea tu,watu wanataka mchele waushike kwa mikono kujiridhisha kuwa haujavunjika na hautoki pakstani,
haakubali kununua mbuzi ndani ya gunia,
kuna mtu alipack hivyo huko kusini,lakini naona haijamlipa yuko kimyaaaa