Mimi sili ugali

Wazee ogopa mungu na tekinolojia. Huyu dada alisema anatumia 200.il kwa siku, hajawahi kula ugali katika maisha yake. Watu sijui wamezoom wapi anagonga ulali na mdudu. Mnaojua location mtuambie hapa wapiView attachment 3662052
Watoto wa mama .. wakisha shika pesa kidogo tu wanaanza ku google madhara ya ugali.
 
Baada ya habari yake ya kutokula ugali kuchuja ameona atumie ugali huohuo kurudi kwenye midomo ya watu. Mjini shule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…