KakaKiiza
Platinum Member
- Feb 16, 2010
- 11,948
- 9,465
Mimi ninalitambua kuwa kila mji,jiji duniani kunatakiwa kuwa katika mandhari nzuri lakini wanakuwa wameshatoa vipa umbele na kinachobki nikutengeneza mji/jiji!!
Nia yangu nikutaka kujua hii manispaa ya Ilala kwakutumia Mamilioni ya pesa kwa kujenga vipita shoto kwa gharama ya kutisha!!zaidi ya milioni 300ml zitatumika kujenga mandhari ya vipita shoto!!
Kweli mimi ninauliza hakuna vipa umbele vingine kwenye hii manispaa ya ILALA??
Wakati kuna shule hazina vyoo??
hazina maji??Hazina madawati??
Wakati hospitali zake nyingi hazina Dawa??
hakuna vitanda vyandarua??!!
Mimi ninaona huu ni mradi wawatu wakumaliza pesa za serikali!!
Je wewe unaona vipaumbele kwenye hii Manspaa ni kuweka Mamba za vyuma na ngarawa za mabati?? kwa gharama ya mamilioni???
Kweli kweli mimi naumia kwa kodi zetu kuliwa na mtu mmoja wakati watoto wetu wanakaa chini!!:A S thumbs_down::nono:
Nia yangu nikutaka kujua hii manispaa ya Ilala kwakutumia Mamilioni ya pesa kwa kujenga vipita shoto kwa gharama ya kutisha!!zaidi ya milioni 300ml zitatumika kujenga mandhari ya vipita shoto!!
Kweli mimi ninauliza hakuna vipa umbele vingine kwenye hii manispaa ya ILALA??
Wakati kuna shule hazina vyoo??
hazina maji??Hazina madawati??
Wakati hospitali zake nyingi hazina Dawa??
hakuna vitanda vyandarua??!!
Mimi ninaona huu ni mradi wawatu wakumaliza pesa za serikali!!
Je wewe unaona vipaumbele kwenye hii Manspaa ni kuweka Mamba za vyuma na ngarawa za mabati?? kwa gharama ya mamilioni???
Kweli kweli mimi naumia kwa kodi zetu kuliwa na mtu mmoja wakati watoto wetu wanakaa chini!!:A S thumbs_down::nono: