Waambie hao !!Sifa moja ya mwalimu ni KUENDANA NA MAZINGIRA.
Mie mpaka leo kuna watu hawajui kazi yangu, naendana na mazingira.
Kwenye umbea nipo, kwenye ushenzi nipo hata kwenye uchangu nipo.
Ula inapofika mahala watu tukashindwa kuheshimiana, acha tu waone tunakopata jeuri zote.
Hahahahaha
Ulijua natokea Kimboka au?
Basi endelea kujua hivohivo kama wengine wanavyodhaniSio utani mm nilijua ni changu mmoja matata sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aisee acha tu
Ndo nawafikishia ujumbe hapa.Waambie hao !!
Mwanamke mwalimu ndiye mwanamke pekee ambaye anasifa ya kuitwa mke lakn kada zingne huko ni majaaliwa tuBasi endelea kujua hivohivo kama wengine wanavyodhani
Hahahah.Mwanamke mwalimu ndiye mwanamke pekee ambaye anasifa ya kuitwa mke lakn kada zingne huko ni majaaliwa tu
Nichunguze Mara ngapi mkuu? Nilishachunguza na majibu ninayo ndio maana niliandika uliyoniquote ..Hahahah.
Fact ndogo tu.
Naomba uchunguze % kubwa ya watu mashuhuri na viongozi, wake zao wako idara na kazi gani.
Ukimaliza, uje kuniambia.
Hahahaaaaa!! Naona mgiriki unachangamkia fursa!Nichunguze Mara ngapi mkuu? Nilishachunguza na majibu ninayo ndio maana niliandika uliyoniquote ..
Mkuu hivi umeolewa unaonaje nikuoe mm?[emoji12] [emoji12]
Khaaa!!!Nichunguze Mara ngapi mkuu? Nilishachunguza na majibu ninayo ndio maana niliandika uliyoniquote ..
Mkuu hivi umeolewa unaonaje nikuoe mm?[emoji12] [emoji12]
Mkuu kila mwanaume anataka familia yenye maadili ..Khaaa!!!
Unataka kukamatia na fursa hapahapa jukwaani?
Taratibu bhana
Mkuu taratibu basi [emoji51] [emoji51]Hahahaaaaa!! Naona mgiriki unachangamkia fursa!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Poa, nitakutafuta 'chemba'Mkuu kila mwanaume anataka familia yenye maadili ..
Hivyo fursa ikipatikana changamkia
[emoji120] [emoji120]Poa, nitakutafuta 'chemba'
<br />we kama ulifeli lazima utawachukia waalimu !!<br />Teaching is my hobby not only professinal !![quote uid=241513 name="PAGAN" post=17953797]Sasa ndio umeandika nini hapa? Mi nakwambia we mwalimu kanyaboya tu.
sio kivile....ni pm unioneBinamu hiyo avatar yako tu huwa nahisi ndo ulivo ha ha kauzu zaidi ya dagaa