Hivi ni kweli ukiwasha taa ya booster bila balbu yake unaua booster....???Mtaalamu wa umeme wa magari 'Morogoro kwa matatizo ya umeme wa magari tucheki! Kwa msaada na kwa huduma pia kwa matatizo ya Taa!'starting system'sensors' zaid kwa matatizo na namna ya kuclear CHECK ENGINE light on dashboardcn
Naomba kujua hii booster mliotaja hapa ni nini? Naona nipo gizani au mwingine?Ni kweli boss coz booster inakuwa na umeme mkubwa na balb zinakuwa chache
Booster ni kifaa kinachotumika kwenye magari hasa kwenye mfumo wa taa au mziki wa gari kukuza au kuongeza utendajikazi zaidi wa kifaa kilichokusudiwa kama taaa zinakuwa na mwanga mkali mnooo then kama mziki unakuwa na sauti kubwa mno inshort ni mfumo wa mashine unaowekwa kwenye gari kuongeza nguvu ya utendaji kwenye kifaa kilichokusudiwaNaomba kujua hii booster mliotaja hapa ni nini? Naona nipo gizani au mwingine?
Okay, nimekupata ila taa hazina booster! Mfumo wa HID utumia ballast ambayo ni mfumo wa coil na tofauti na booster/amplifier ya mzikiB
Booster ni kifaa kinachotumika kwenye magari hasa kwenye mfumo wa taa au mziki wa gari kukuza au kuongeza utendajikazi zaidi wa kifaa kilichokusudiwa kama taaa zinakuwa na mwanga mkali mnooo then kama mziki unakuwa na sauti kubwa mno inshort ni mfumo wa mashine unaowekwa kwenye gari kuongeza nguvu ya utendaji kwenye kifaa kilichokusudiwa
Altoneta au stataWaya upi... Unaotoka kwenye betri au unaingia kwenye solenoid?